Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
we si uliamua kumuuliza shedede atakuja kukujibuHa ha ha ha ha ha.... Basi Niambie wewe mwenyewe.
we si uliamua kumuuliza shedede atakuja kukujibuHa ha ha ha ha ha.... Basi Niambie wewe mwenyewe.
Salamu zako zitafika. Hope unaendelea poa lakiniJaman asante sana mshikaji wangu nimeshapoamsalimie sana madame s
Wacha hasira Shunie.. ..we si uliamua kumuuliza shedede atakuja kukujibu
namshkuru Mungu naendelea vizuriSalamu zako zitafika. Hope unaendelea poa lakini
sina hasira yoyote shedede atakuja kujibuWacha hasira Shunie.. ..
Asante mkuu kwa magazeti.Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono wa Chaplin
Nawatakieni wote siku njema na Mungu awabariki
Pole sana Mkuu.Morning all
Niliimiss sana hii familia, asanteni sana sana kwa pole na salaam mbarikiwe sana![]()
inauma sana katika familia kupoteza watu wawili muhimu ndani ya siku moja hatuwezi kumkufuru Mungu yeye ndio anajua kwa nini imekua hivyo Mungu baba muweza wa yote![]()
Lee wangu nakushukuru sana kwa kuwa na mimi bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu
Mungu azidi kukubariki na Mungu azidi kuniwekea![]()
Nilikumiss sana kivuruge wangu![]()
Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama na kurudi salama kutoka Tanga kuzika![]()
Mbarikiwe sana muwe na siku iliyo njema![]()
Leo Katika Historia:
1958 - Rais wa zamani wa Ufaransa Charles De Gaulle anatoka mapumzikoni na kuongoza nchi tena kwa miezi sita.
1962 - Kamanda wa Jeshi la Nazi Adolf Eichmann ananyongwa huko Israel baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kushiriki mauaji ya Wayahudi.