Makapuku Forum

Makapuku Forum

041c3b3097fa2477f22115fc9e40a2ed.jpg
ad056fe3a847136ceb4f01ef45158c4a.jpg
f0cb72b1685eb71ce6c239429eb22e0b.jpg

Kuna wabongo hawanywi maziwa hadi siku waugue
Ila pombe haivuki wiki
.....


Ha ha hahahaha, kwani ni lazima kunywa?

Yaani mnakunywa tu mnajiwekea na sherehe,, mbona hamuwakumbuki wanyonya maziwa
 
0a5087619a30b78a5dc6090343fa2f18.jpg
c91a7ba8e989b26be04f7ee53e7d86f2.jpg
Ni mmoja kati ya wana wake warembo weupe kuwahi kutokea
Ila aliutumia vibaya urembo wake
Kwani ni mmoja wa warembo wa kizamani maarufu kwa kupiga picha za utupu
Ni km Naomi Campbell wa zama hizi
23fed50c420132a038b1b1d43cbf36d6.jpg
Siyo tu inadaiwa bali ni muna kaukweli kwamba JFK alikuwa anakula mzigo...
JFK ni mmoja wa marais wa USA wapenda totoz hata mkewe alikuwa ni mrembo

Kilichofanywa na Marilyn Monroe ni km alichofanya Naomi Campbell kulala na Charles Taylor
5feb95efd9cdbd71c869d1b5dcec6848.jpg

Ili kutunza heshima ya Rais JFK FBI chini ya Edgar Hooverwakatia mkono na kufanya mambo kimyakimya
Na kwavile M arilyn alikuwa ni mlevi na malaya basi inadaiwa walimuua kwa sumu
Km picha inavyoonekana Alikuwa chumbani kwake akiwa amekufa usingizini
Pembeni zilionekana dawa za kulevya na pombe{inadaiwa ziliwekwa na FBI km zuga tu) au alitegeshewa sumu kwenye kinywaji
....
Asante kwa nondoz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom