Makapuku Forum

Makapuku Forum

38f1b34b3b8e713072cdbebfed256d19.jpg
End
.....
 
0a5087619a30b78a5dc6090343fa2f18.jpg
c91a7ba8e989b26be04f7ee53e7d86f2.jpg
Ni mmoja kati ya wanawake warembo weupe kuwahi kutokea duniani
Ila aliutumia vibaya urembo wake
Kwani ni mmoja wa warembo wa kizamani maarufu kwa kupiga picha za utupu
Ni km Naomi Campbell wa zama hizi
23fed50c420132a038b1b1d43cbf36d6.jpg
Siyo tu inadaiwa bali ni kuna kaukweli kwamba JFK alikuwa anakula mzigo...
JFK ni mmoja wa marais wa USA wapenda totoz hata mkewe alikuwa ni mrembo

Kilichofanywa na Marilyn Monroe ni km alichofanya Naomi Campbell kulala na Charles Taylor
5feb95efd9cdbd71c869d1b5dcec6848.jpg

Ili kutunza heshima ya Rais JFK Maofisa wa FBI chini ya Edgar Hooverwakatia mkono na kufanya mambo kimyakimya
Na kwavile M arilyn alikuwa ni mlevi na malaya basi inadaiwa walimuua kwa sumu
Km picha inavyoonekana alikutwa chumbani kwake akiwa amekufa usingizini
Pembeni zilionekana dawa za kulevya na pombe{inadaiwa ziliwekwa na FBI km zuga tu) au alitegeshewa sumu kwenye kinywaji
....
ni mrembo kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom