Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

Unajiita mfalme wewe utakua unapigia nyeto mpaka dada zako wa kuzaliwa tumbo moja au mama zako wadogo, wakubwa na shangazi zako wote unawapigia nyeto, kiufupi endelea majibu utayapata baadae ukishafika 50
kaka usitabiria mabaya, nyeto n uraibu wangu,na tena na ogopa wadada
 
Umeiva mkuu 😅
Umenifurahisha hapo unatafuta lodge , na ndicho nilikuwa nifinya enzi zq ujana, never kulala na mwanamke kwenye chumba kimoja, hii ilinipa sana shida hata nilipo oa, sikuwa nalala na mke wangu, nilishazoe nakamua kila mtu analala kivyake
Hauwezi kuiva kabla haujaivishwa , walokole mnajidanganya sana🚮
 
Mwenzio akitapeliwa usimcheke...mara nyingi hata wajanja wanaingia king vzr tu.
 
Umeiva mkuu 😅
Umenifurahisha hapo unatafuta lodge , na ndicho nilikuwa nifinya enzi zq ujana, never kulala na mwanamke kwenye chumba kimoja, hii ilinipa sana shida hata nilipo oa, sikuwa nalala na mke wangu, nilishazoe nakamua kila mtu analala kivyake
Mwanaume ambae ni matured enough, hawezi kurisk na mwanamke kitanda kimoja asiyekuwa mkewe. Yaani mwanamke tumekutana leo, na leoleo tulale pamoja? Hata huo usingizi unakujaje?

Chukua mwanamke, piga zako round mbili mwambie aende. Mimi nikiwa ugenini, ninajua nina simu zangu ambazo ni gharama, nina laptop n.k siwezi muingiza mwanamke nikalala nae, lazima aje na kusepa tu.

Pia hata nikiondoka lodge au hotel, lazima niwaambie reception nimeacha beg langu, so either waniambie niwakabidhi wao au lah wanipe uhakika usalama wa chumba.
 
Mil 30 na una nguvu za kuongea ujinga hapa. Ok fanya hivi mpgie simu au msms umwambie kama kama mzigo unakwama utamtumia zingne mil 40 umtumie kweli then umwambie huo mzigo asikupe hata sh 1 tulia kidogo afu umshtue na mil 5 umwambie n ya vocha baada ya hapo tembea taratibu hadi hos uwaambie wakulaze mortuary
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom