Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

Mkiwa room anakuomba mil 3 umtumie sasa hapo umetapeliwa wapi bwashee?
Ameshaingia mpaka rum probably na mzigo alikua ameshakula.

Hela alituma ya nini sasa?

Mwanaume ukishakojoa tu inabidi na vipaumbele vibadilike.

Hajiulizi ni kwa nini malaya huwa wanataka hela yao kwanza kabla ya kitu chochote?
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (unamkuta yupo pale pa kisubiria wageni kama vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Miwani Kwenye gari anadai twende ukalale kwangu.,.).

Nimetapeliwa na demu pale SGR station Dodoma kwa njia ya ajabu Sana kwa ahadi ya mapenzi.

Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.

Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee
Milion 3 kisa bao moja
 
Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.
Mwanangu naomba unitafute PM nikupe darasa la peke yako, wewe una tatizo sio kidogo yaan inabidi nikupe lecture ya peke yako kabisa in person transfers money out via USSD balance menu, nikueleweshe vizuri uelewe yaan upate darasa huru la free class room darasa zima uwe peke yako na usiniulize wanafunzi wengine wapo wapi?
 
Katika vitu nachukia dunian n mwanamke,hichi kiumbe kina laana ndo maana mm silag chakula kimepikwa na mwanamke,labd nijipikie
 
Nilisha wahi kutana na demu mmoja classmate Amina mtanga akikiuza maisha club , kunitambua akasema mchanga mmoja fala sana wewe 😅😅 now naona kalamba shavu
Amini uchawi upo! Nimeuza sana dawa za mvuto na kupumbaza huko🏃🏿🏃🏿🏃🏿
 
Pumbu zako mjinga wewe
Ameweka sana hisia mbele kasimamisha mbookasimamisha mpaka mshipa wa ubongo anaendeshwa km remote hapo alichonusurika ni kusema manzi alimshawishi akaishia kufirwa, yaan ilibakia kidogo tu manzi angemlengesha kwa wadau wampakue na manzi angemwambia haya vua upakuliwe angevua na angepakuliwa kweli na angekuja kutusimulia humu kua kuna manzi amesababisha yeye amepakuliwa stand ya SGR Dodoma amegawa JICHO
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom