Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

Hiyo 3m ungeenda Riverside ungefunga na vijiwe vyenyewe vyote na change ingebaki😂😂😂😂
Na treatment km ya mtoto wa Mfalme wa Qatar km upo sayari ya Mars au Jupiter, msululu mrefu ushindwe wewe tu na mapafu yako
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (unamkuta yupo pale pa kisubiria wageni kama vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Miwani Kwenye gari anadai twende ukalale kwangu.,.).

Nimetapeliwa na demu pale SGR station Dodoma kwa njia ya ajabu Sana kwa ahadi ya mapenzi.

Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.

Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee
Unatapeliwaje na watu wa mkoani?
 
Yaan unamaanisha nini ushawahi mpigia nyeto binti wako wa kike wa kumzaa mwenyewe?
Mimi sina mke wala watoto wala mahusiano.mimi napenda kupiga nyeto, nimeanza nkiwa na miaka 15 na saiv na 46.nyeto naikubal kinoma
 
Its need bit crazy mind to understand. Dem kam hao wa kuonga milion hata dole gumba usiweke we unaingiza kias gan monthly?
Wale yale magari kuna vitu wanakuwa wameshapuliza ukirogwa ukaingia baada ya hapo unakuwa kama nusu zombie nusu mtu.. Unajitambua lakini kama hujitambui.. Unaweza kuhonga mpaka kiwanja au biashara
 
Hapana hakuna dawa / uchawi ni wewe mwenyewe na upwiru wako / hii DUNIA SIO ya wanaume dhaifu pole sana sanaa kaka.

Huku pakiwa madawa ya kulevya kwenye chuchu ukajikuta umelala umeibiwa Kila kitu..Mimi ni nadra sana sanaa kumwamini mwanamke stranger.

Tena sisi wapiga pombe Huwa tuna usingizi sana usiku baada ya gemu plus pombe..ila ndio ivyo akili ku mkichwa HATUJAWAI kutapeliwaa..
Mwambie huyo dogo aje PM nimpe lecture, kwanza ukikutana na manzi kahaba kaa kimasta hakikisha komfuu ziwe nyingi taichii taikwando ni muda wote na hakikisha hakuelewi kabisa, wengi hua wanadraw in convo makusudi kabisa ili akulengeshee kwenye target akitaka kukujua hakikisha unakwepa huo mtego fanya kila unaloweza asikujue kabla hujaingia mtegoni na jua muda wa kujiondoa using'ang'anie pussy ya manzi kahaba sio yako peke yako
 
Mimi sina mke wala watoto wala mahusiano.mimi napenda kupiga nyeto, nimeanza nkiwa na miaka 15 na saiv na 46.nyeto naikubal kinoma
Unajiita mfalme wewe utakua unapigia nyeto mpaka dada zako wa kuzaliwa tumbo moja au mama zako wadogo, wakubwa na shangazi zako wote unawapigia nyeto, kiufupi endelea majibu utayapata baadae ukishafika 50
 
Kulala na mtu usiyemfahamu ni risk, wewe upo kama mimi, najiwekeaga huo utaratibu, hata akitokea mwanamke wa kulala heri, ni bora ukaingia gharama ya kuchukua lodge nyingine kuliko kulala sehemu uliyofikia tena ndani ukiwa na mali zenye thamani.
Umeiva mkuu 😅
Umenifurahisha hapo unatafuta lodge , na ndicho nilikuwa nifinya enzi zq ujana, never kulala na mwanamke kwenye chumba kimoja, hii ilinipa sana shida hata nilipo oa, sikuwa nalala na mke wangu, nilishazoe nakamua kila mtu analala kivyake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom