Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

SHIDA MOJA HAWANAGA HURUMA KABISA KAMA WA SINZAA

SINZA AKIKUPURURA ANAMWOMBA HATA RECEPT AKIAMKA MPE 10000 YAKE YA NAULII HAOO WEWE
 
Una miaka mingapi wewe? Kama upo 40 na kwenda juu ukafanya UPUMBAVU huu wewe ni Tako la alibino
Of your below
Chukua hatua kubabako ALIKUPA kalio?
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (demu unamkuta yupo pale pa kusubiria wageni kama TAXI driver vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Tukiwa Kwenye gari anadai twende tukalale kwake badala ya hotel.,.).

Nimetapeliwa na demu pale SGR station Dodoma kwa njia ya ajabu Sana kwa ahadi ya mapenzi.

Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.

Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee
Ww n mpumbavu kama Wapumbavu wengine
 
Ungekuwa wakike, ungekuta mkungu haufanyi kazi hapo
 
HEading ilipaswa kuwa tuwe makini na hamu zetu. Sasa Mwanamke kujifanya classic yeye na maisha yake na fedha zangu vinahusianaje? Hapo mkuu ulilegea sana kama mlima Pamba alietokea Kyaka Milimani.
 
Mwambie huyo dogo aje PM nimpe lecture, kwanza ukikutana na manzi kahaba kaa kimasta hakikisha komfuu ziwe nyingi taichii taikwando ni muda wote na hakikisha hakuelewi kabisa, wengi hua wanadraw in convo makusudi kabisa ili akulengeshee kwenye target akitaka kukujua hakikisha unakwepa huo mtego fanya kila unaloweza asikujue kabla hujaingia mtegoni na jua muda wa kujiondoa using'ang'anie pussy ya manzi kahaba sio yako peke yako
Noma sanaaaaaa
 
Lakn si ulitomba? Shukuru ulilambishwa utamu

Hyo 3m n bei ya hyo mbunye

Ungetaka ya bei rahis ungeenda pale chako n chako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom