beberu la mtaa
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 608
- 1,362
Bado story yako haijafika mwisho au inaendelea.... 😁😁
Akishakuomba 3m what next Boss ?
Akishakuomba 3m what next Boss ?
Mtoa mada ni mkongwe jukwaani na ni mtu mwenye exposure sanaa namsomaga..Acha uongo boya wewe, unatunga stori wakati kama hizi huku ukimalizia zamu yako ya usafi kwa shemejiView attachment 3551160
Walevi tuna visa vya kupoteza pesa nyingi sanaMtoa mada ni mkongwe jukwaani na ni mtu mwenye exposure sanaa namsomaga..
#Respect, Money, Power
Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.1. Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (unamkuta yupo pale pa kisubiria wageni kama vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Miwani Kwenye gari anadai twende ukalale kwangu.,.).
2. Nimetapeliwa na demu pale SGR station Dodoma kwa njia ya ajabu Sana kwa ahadi ya mapenzi.
3. Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.
4. Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee
Hahahaha hapa hakuna utapeli bwashee hasa kwa sisi walevi tunaelewaTukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.
4. Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee😀😀😀
😂😂😂 Mimi nilishawahi kuhonga hiriziMimi kwenye maulevi nilisha tunza kwenye live band zaidi ya mil 2 ,ambayo ni pesa ya mtaji wangu ambayo niliweka ni karata yangu ya mwisho ya kutoboa Seran 😅
Ukageuka mzamiru katunzii, mpakanjiaaa, ndama mutoto ya ng'ombe, papa musofee😂😀Mimi kwenye maulevi nilisha tunza kwenye live band zaidi ya mil 2 ,ambayo ni pesa ya mtaji wangu ambayo niliweka ni karata yangu ya mwisho ya kutoboa Seran 😅
Huyo jamaa ni muongo. Ukutane na demu day 1 utoe 3M? Anatuchosha hapa jukwaaniKaka tupo kwenye kwaresma/ ramadhan..
Punguza ukali wa maneno kaka jamaa kaamua kutusimulia yaliyo msibu..
NB. Binadamu hugeuka mnyama hasa hasa anapo itaka pesaa
Unaongea kama mtu ambaye hajapitia mengi mkuu,Huyo jamaa ni muongo. Ukutane na demu day 1 utoe 3M? Anatuchosha hapa jukwaani
Hili la hirizi ni nouma sana mkuu🤣🤣🤣 ila mimi kwenye maulevi pesa ndefu sana nilisha achia na hata mbunye sikuigusa na sikulalamika🤣🤣😂😂😂 Mimi nilishawahi kuhonga hirizi
Ila yule binti alikuwa na roho ngumu sana aisee just imagine aliipokea ile hirizi😀Hili la hirizi ni nouma sana mkuu🤣🤣🤣 ila mimi kwenye maulevi pesa ndefu sana nilisha achia na hata mbunye sikuigusa na sikulalamika🤣🤣
Kulala na mtu usiyemfahamu ni risk, wewe upo kama mimi, najiwekeaga huo utaratibu, hata akitokea mwanamke wa kulala heri, ni bora ukaingia gharama ya kuchukua lodge nyingine kuliko kulala sehemu uliyofikia tena ndani ukiwa na mali zenye thamani.Kutapeliwa kisa penzi la mtu ambae humjui nalo ni tatizo lingine.
Mwisho wa yote pole, 3 million kwa usawa huu ni nyingi. Huwa nikifika Dodoma ni moja kwa moja hotel ambayo nakuwa nimefanya booking, baada ya hapo ndio meeting na mtu tu ambae nina miadi nae nje ya hapo hapana, hii popote napo enda sio dodoma tu ( nimejiwekea huo utaratibu )
Hahahahahaha, anataka akamloge boya mwingine tena atoe pesa🤣🤣Ila yule binti alikuwa na roho ngumu sana aisee just imagine aliipokea ile hirizi😀
Jamaa alipigwa kizembe sana! Ila wale machangu wa Dom ni washirikina kinyama..Hahahaha hapa hakuna utapeli bwashee hasa kwa sisi walevi tunaelewa
Maisha club au chako ni chako pale wanakaa machangu wa Udom , cbe , mipango ,na sent johnJamaa alipigwa kizembe sana! Ila wale machangu wa Dom ni washirikina kinyama..
Ukishapiga mitungi unachohitaji ni kupata raha sio karaha..😂Hahahahahaha, anataka akamloge boya mwingine tena atoe pesa🤣🤣
Ila walevi tuna honga bila hata kuichapa hili linaniuma sana😭