Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (demu unamkuta yupo pale pa kusubiria wageni kama TAXI driver vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Tukiwa Kwenye gari anadai twende tukalale kwake badala ya hotel.,.).

Nimetapeliwa na demu pale SGR station Dodoma kwa njia ya ajabu Sana kwa ahadi ya mapenzi.

Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.

Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee
Watu wa aina yako huwa mnaitwa mazoba, kile alichokufanyia ni deal kama zilivyo deals nyingine zozote ziwe legal or illegal. The end justifies the means.
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (demu unamkuta yupo pale pa kusubiria wageni kama TAXI driver vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Tukiwa Kwenye gari anadai twende tukalale kwake badala ya hotel.,.).

Nimetapeliwa na demu pale SGR station Dodoma kwa njia ya ajabu Sana kwa ahadi ya mapenzi.

Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.

Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee

Sasa hapa tatizo ni demu au ni genye zako mzee baba?

Hujashikiwa silaha, hujalazimishwa utongoze lakini mwisho wa siku umeingizwa mjini kwa sababu ya genye...
 
Hao ndiyo wale wanaosaini mkataba mobovu na wazungu... Halafu una familia very much stupidity
 
Mkuu kama ulituma pesa mwenyewe ukaweka na password mkiwa chumbani. Aisee nadhani hapo makosa ni yakwako
 
Kojolea Ndani Shida
Jamaa Kaloweka Akawa Mjumbe Ndiyo

Akiambiwa Lolote Anajibu Ndiyo
Weka Password Ndiyo
Cash Inahama Tuagoze Boda Ndiyo

💘💓💝💖🙆‍♂️🙆‍♂️🤩🤩🍸🥂👄💋
 
kaka usitabiria mabaya, nyeto n uraibu wangu,na tena na ogopa wadada
Ushampigia nyeto mpaka mama yako au yule bibi kizee anaekaa kwenye kiti kikubwa? Km hujawahi usijiite Mfalme wa nyeto
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (demu unamkuta yupo pale pa kusubiria wageni kama TAXI driver vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Tukiwa Kwenye gari anadai twende tukalale kwake badala ya hotel.,.).

Nimetapeliwa na demu pale SGR station Dodoma kwa njia ya ajabu Sana kwa ahadi ya mapenzi.

Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.

Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee
Tunashukuru kwa kukusanua. Watu wengi wanakuponda, lakini ukweli ni kwamba umeokoa watu wengi ambao wangeenda kuibiwa kama wewe.

Ingawa hujaeleza vizuri lakini kama nimeelewa mchezo uko hivi.

1. Unakutana na dada mkali ambaye anajidai ni taxi driver.
2. Mkiwa njiani kuelekea sehemu ambayo unaenda anaanza kuku seduce na kukuambia yuko single unaweza kwenda kulala kwake. Unajiona una bahati sana umeokita dodo kwenye mwarobaini.
3. Mkifika kwake ana ku intertain na kukueleza story nyingi kukuamnisha kwamba yeye ni mfanya biashara mkubwa wala hana shida ya pesa. Anakununulia vinywahi, chakula yaani full intertaiment.
4. Anakupa mzigo unakula kiroho safi hadi unaridhika.
5. Baada ya game anapata dharura ambayo inahitaji kutuma pesa lakini bahati mbaya account yake ina matatizo. Ni muhimu atume hiyo hela kwa wakati huo ili biashara zake zisiharibike. Anajaribu kuwapigie wenzake lakini wote wanatoa sababu za hapa na pale. Anakugeukia wewe umsaidie atakurejeshea kesho asubuhi.
6. Kwa kuwa umekula mzigo na umesha aminishwa ni mtu wako.. unamsaidia.
7. Asubuhi anaku drop kazini na kuahidi baada ya muda bank zingefunguliwa atakamilisha mwamala. Na pia anakuambia ukimaliza mkutano mpigie aje akuchukue. Anakuuliza jioni ungependa kula nini.
8. Ukisha achana naye simu haipatikani tena. Unajaribu kuchukua tax uende pale mlipo lala jana, wanakwambia ile ni airbnb wala hawamjui. Ameondoka mchana. baada ya hapo ndo unagundua umetapeliwa.


Iko hivi matapeli hutumia mbinu mbalimbali kukamilisha adhima yao. Ila kugundua ni rahisi.

1. Principle ya kwanza. No sweet without sweat. Ukiona unapata/unapewa/unaahidiwa kitu adimu au cha ghali kirahisi rahisi bila gharama shituka. Unatapeliwa. Matapeli hapa wanatumia tamaa za binadamu kunasa wahanga. Usiwe na tamaa.

2. Principle ya pili. Urgency ya mtu mwingine is non of your business. Ukiona mtu anakuja kwako na kukuomba kitu halafu anakwambia yaani inatakiwa akamilishe haraka sasa hivi, mwambie kama ingekuwa kesho kutwa ningeweza kukusaidia. Uharaka wake si wako, wewe una mipango yako. Hapa matapeli wanatumia udhaifu unaitwa huruma. Usiwe na huruma kwa mtu usiye mjua.

3. Principle ya tatu. Acha uoga. Ukiona mtu anakutisha usipofanya hivi sasa hivi kitatokea kitu kibaya kwako. Shtuka. Hapa matapeli wanatumia udhaifu unao itwa uoga. Anakutisha na jambo halafu anakuambia ili uokoke fanya 1,2,3.... Anakutisha uingie mkenge.

Mwisho nakutakia pole sana.
 
Tunashukuru kwa kukusanua. Watu wengi wanakuponda, lakini ukweli ni kwamba umeokoa watu wengi ambao wangeenda kuibiwa kama wewe.

Ingawa hujaeleza vizuri lakini kama nimeelewa mchezo uko hivi.

1. Unakutana na dada mkali ambaye anajidai ni taxi driver.
2. Mkiwa njiani kuelekea sehemu ambayo unaenda anaanza kuku seduce na kukuambia yuko single unaweza kwenda kulala kwake. Unajiona una bahati sana umeokita dodo kwenye mwarobaini.
3. Mkifika kwake ana ku intertain na kukueleza story nyingi kukuamnisha kwamba yeye ni mfanya biashara mkubwa wala hana shida ya pesa. Anakununulia vinywahi, chakula yaani full intertaiment.
4. Anakupa mzigo unakula kiroho safi hadi unaridhika.
5. Baada ya game anapata dharura ambayo inahitaji kutuma pesa lakini bahati mbaya account yake ina matatizo. Ni muhimu atume hiyo hela kwa wakati huo ili biashara zake zisiharibike. Anajaribu kuwapigie wenzake lakini wote wanatoa sababu za hapa na pale. Anakugeukia wewe umsaidie atakurejeshea kesho asubuhi.
6. Kwa kuwa umekula mzigo na umesha aminishwa ni mtu wako.. unamsaidia.
7. Asubuhi anaku drop kazini na kuahidi baada ya muda bank zingefunguliwa atakamilisha mwamala. Na pia anakuambia ukimaliza mkutano mpigie aje akuchukue. Anakuuliza jioni ungependa kula nini.
8. Ukisha achana naye simu haipatikani tena. Unajaribu kuchukua tax uende pale mlipo lala jana, wanakwambia ile ni airbnb wala hawamjui. Ameondoka mchana. baada ya hapo ndo unagundua umetapeliwa.


Iko hivi matapeli hutumia mbinu mbalimbali kukamilisha adhima yao. Ila kugundua ni rahisi.

1. Principle ya kwanza. No sweet without sweat. Ukiona unapata/unapewa/unaahidiwa kitu adimu au cha ghali kirahisi rahisi bila gharama shituka. Unatapeliwa. Matapeli hapa wanatumia tamaa za binadamu kunasa wahanga. Usiwe na tamaa.

2. Principle ya pili. Urgency ya mtu mwingine is non of your business. Ukiona mtu anakuja kwako na kukuomba kitu halafu anakwambia yaani inatakiwa akamilishe haraka sasa hivi, mwambie kama ingekuwa kesho kutwa ningeweza kukusaidia. Uharaka wake si wako, wewe una mipango yako. Hapa matapeli wanatumia udhaifu unaitwa huruma. Usiwe na huruma kwa mtu usiye mjua.

3. Principle ya tatu. Acha uoga. Ukiona mtu anakutisha usipofanya hivi sasa hivi kitatokea kitu kibaya kwako. Shtuka. Hapa matapeli wanatumia udhaifu unao itwa uoga. Anakutisha na jambo halafu anakuambia ili uokoke fanya 1,2,3.... Anakutisha uingie mkenge.

Mwisho nakutakia pole sana.
Cc. Pengo Makeke
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (demu unamkuta yupo pale pa kusubiria wageni kama TAXI driver vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Tukiwa Kwenye gari anadai twende tukalale kwake badala ya hotel.,.).

Nimetapeliwa na demu pale SGR station Dodoma kwa njia ya ajabu Sana kwa ahadi ya mapenzi.

Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.

Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee
SADAKA HUTOI
ZAKA HUTOII

LAZIMA MAGUGU WAZITAFUNE SHEHEE

SOMAA MAANDIKO
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (demu unamkuta yupo pale pa kusubiria wageni kama TAXI driver vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Tukiwa Kwenye gari anadai twende tukalale kwake badala ya hotel.,.).

Nimetapeliwa na demu pale SGR station Dodoma kwa njia ya ajabu Sana kwa ahadi ya mapenzi.

Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.

Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee
unamshobokeaje mwanamke tajiri mwenye mali 🤣🤣,ili akuhonge mkuu
 
mkuu ujawahi enda sinza nn wale usingewahitaji wamejaa toop
 
Ndugu zangu tuchukue tahadhari tukitembelea Dodoma hususani wageni wa mji wa Dodoma (demu unamkuta yupo pale pa kusubiria wageni kama TAXI driver vile anasubiria Mgeni, kwa shepu na muonekano lazima ujichanganye. Tukiwa Kwenye gari anadai twende tukalale kwake badala ya hotel.,.).

Nimetapeliwa na demu pale SGR station Dodoma kwa njia ya ajabu Sana kwa ahadi ya mapenzi.

Demu anaonekana anajiweza sana, muonekano na gari analotumia. Ghafla akadai anafanya biashara ya pikipiki anataka tufanye wote. Tukiwa room anaomba nimtumie 3m kutoka benki yangu kwenda akaunti yake ili kumlipa supplier wake wa Dar.

Mpaka muda huu najiuliza nilitoaje Ile pesa huenda anatumia dawa aisee
MKUU ULIBEBA DREAMLINER UKAJUA DASH-8

😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆

BADO B2 UHAZIONA ULIZIA MAENEO YAO KAMA UTATOBOA HATA NA NAULI YA KURUDI DAR WEWEE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom