General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,187
We jamaa kweli roho mbayaDah....kwani umepanga kujiua lini? [emoji13]
We jamaa kweli roho mbayaDah....kwani umepanga kujiua lini? [emoji13]
Unakadiria kiwiko cha mkono ndoo ya Lita 20, mafuta yapo tuuMshana ni kipimo gani cha chumvi kinatakiwa, na upatikanaji wa mafuta ya mizeituni ukoje I mean wp mtu anaweza pata.
Hapana unaweza kujipaka piaMafuta ya mzeituni nayo unachanganya na chumvi kwenye kuogea kaka
Kwenye hatua za makuzi wengi hupitia hiyo hatuahata mimi kuna kipindi huwa natamani kujiua ila sio kwa weak reasons kama zako
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Mkuu,uko vzur!
NdioJe, kama nilipo hakuna uwezekano wa kupata chunmvi ya mabonge naweza kutumia hii ya kawaida ya dukani?
Vyovyote ni sawa tuMshana samahani hii chumvi unaiweka kwenye maji yakuogea moja kwamoja au unaoga Kwanza kwamaji yabila chumvi alafu ukimaliza ndio unachukua maji yenye chumvi unajimwagia? samahani nieleweshe hapo
Ni heri tu ukae kimya kuna mengi huyajui badoDuh,
Uchawi one-on-one!
How in this world will any sane person believe this on matter predicament he/she is in?
Not one!
Chifwile nadhani... Hata kama yuko kimebaki kikojoleo tu... Mkojo mkubwaHivi bado yupo yule shujaa?
Fumba la mkono kwa Lita 20kiasi gani,kwa kila kuoga? ni vipimo vya vijiko au pakiti
Mzee baba huu ushauri ni hatari. Unataka kumzaba vibao tena
Ukinywa quinine halafu ni muhimu si lazima kunywa na panadol au vitamin BKwahiyo Mshana hii chumvi ukiogea na usipopaka mafuta ya mzeituni matatizo hayataisha?.
Si kila mahali kuna bahari ndugu yanguKwanini asioge maji ya baharini, ambayo yanachumvi mujarabu
Dah.....[emoji13] [emoji13]We jamaa kweli roho mbaya
Ndugu zangu,
Kama nilivoandika kichwa cha habari mimi ni kijana niliye ajiriwa na mapato yangu kwa mwezi nikama 2000000 hivi.
Lakini nimekosa furaha kiasi kwamba sina furaha na maisha pamoja na watu wanaonizunguka hata hiyo pesa yote huishia kumaliza matatizo ya ndugu na kila mwanamke naingia naye kwenye mahusiano basi hata anza kuumwa kiasi pesa yote inaenda kumhudumia mgonjwa.
Sasa najiuliza nitakuwa nimerogwa au na kipindi hiki ndo nimekosa kabisa ujasiri wa maisha sasa je hiyo hali ya kawaida au kuna michezo ya kiswahili nafanyiwa na kama yupo mganga anitibie nikipona ndo namlipa maana nimeenda kwa hawa wa upako naona maigizo kabisa mtu ananiombea sijazimia ananilazimisha kuniangusha na wale wasaidizi wanashika kwa nguvu kama nina matatizo wakati nipo vizuri, ndo nikaona wote hawa maigizo.
Nimeenda kama kwa wa upako wa nne hivi wote hivohivo.
Sijui nifanye nini.
Ni heri tu ukae kimya kuna mengi huyajui bado