Maisha yangu mabaya sana nakaribia kujiua

Maisha yangu mabaya sana nakaribia kujiua

Pole mkuu,
hebu fanya kuonana na counsellor kwanza. Acha kuwaza ushirikina.
Nashukuru ndugu pamoja na kufanya kazi nimepoteza hali yakujiamini mm mwenyewe naona kama Nina vita kubwa ya kiroho napata pesa ila cjui nn kina tokea mipango haiendi kila siku wanaonizunguka nao wanadhani Nina furaha na maisha kisa Nina kazi lakini wangejua nawaza kwenda huko kusikojulikana duniani kuna siri nzito sana ya maisha
 
Unapata mshahara wa 2mil kwa mwezi unawaza kujiua!? Jiue tu aisee hakuna namna.

Usimlaumu mtu yoyote unapomuona yupo katika mtihani, iyo mil 2 sio ishu. Muhimu ni nafsi je vipi itakuwa salama.

Humu nawaona wamo weng wanaishangaa mil 2 eti pesa nyingi. Kama wewe ukipewa mtihan kama wake pengine hata ungelipwa mil10 ndio ungejutia zaid. Kila kitu mnakiwaza kiurahs tu

Haitakiwi kuiwaza 2 mil yake unatakiwa umsaidie vip atoke hapo alipo kwa shetani.
 
Kama unalipwa millions 2 siwezi hata kukushauri!.
Kwahiyo kila mwaka mwenzetu unamaliza milioni 24?
Sasa huoni ukijiua utasababisha na hao wanaokutegemea wafe presha?

Ukiwa na huruma sana hapa duniani lazima uteseke sana alafu wengine waishi kwa raha kwaajili yako.

Acha kumuiga yesu kila kitu wewe hadi unataka kufa kwaajili ya watu.
 
Ningekushauri uedit kipato chako uondoe iyo mil 2. Binadamu tumeumbwa na udhaifu wengi wanaitolea macho iyo badala ya kukusaidia. Na mara unaweza ukapata hasad nyingine mpya. Usipendelee kuweka wazi kipato chako.
 
Unapata mshahara wa 2mil kwa mwezi unawaza kujiua!? Jiue tu aisee hakuna namna.
Uko serious unajiona umeandika comment kweli?

Sometimes ni afadhali kukaa kimya. Am sorry lakini sijapendezwa na ulichoandika.
 
Mkuu wata wazazi wazo wangewaza kama wewe basi usinge tokea wewe sasa cha msingi mtafuta mtu uumpe mimba kabisa uache japo mbegu yako maana watu wanaweza pungua mno hapo...04262088
 
Ebu acha kuwa na roho ya kike ya uoga uoga ww, uoga ndio unakusumbua hakuna kingine, kuwa na roho ngumu ngumuuuu sana kunizidi mm, hayo mawazo ya kiuoga uoga na hofu za kipuuzi zitakimbia na kukuacha, kuwa na roho ngumu kunizidi mm nimekwambia, acha ujinga mtoto wa kiume unalegea legea, ningekuwa nakujua ningekuwasha vibao vikali kali kabisa ukomae uwe mwanaume mgumu, simama very strong acha ujinga na uoga kuwa na roho ya chuma cha pua na mkono nyundo kama mm, narudia acha kulegea legea mtoto wa kiume, kuzaliwa mwanaume ni kuwa mgumu sana, akili kubwa & smart na katili ikibidi kuliko shetani then maisha yanakuwa bora kabisa.. Be very strong
Mzee baba huu ushauri ni hatari. Unataka kumzaba vibao tena
 
Huwa nachukizwa sana na wanaume wanapo kuja kulia lia huku JF..
Hivi hauna marafiki wa watu unao waamini..
Ukizaliwa mwanaume inabidi kupambana sio kutia tia huruma acha umama kabisa
 
Wacha niache neno....hiyo ela mbona kubwa mi nipo kazini napokea chini ya hapo Na napoishi mpaka kazini nauli haipungui elfu 4500 ukijinyima Sana 3000 hakuna nimepanga Na makorokocho kibao kwa ela hiyo hiyo,lakini bado tuna survive,ngojea kidogo kwanza........
Tatizo cyo pesa mkuu tatizo cna furaha na dunia na roho wa mauti huwa ananiita kuna muda nawahi kwenda bar kulewa ili nicfikie kufanya jaribio la kujiua asubuh nikiamka mawazo ya kukata tamaa hunijia tena na ujasiri hata wa kujenga hoja pindi ninapotakiwa kutoa hoja au mawazo yangu nimekuwa cji amini coz naona kipato ni cha kawaida ila hakuna cha maana ninacho Fanya nashindwa na hata na mtu mwenye kipato kidogo Nina mipango mingi isiyotekelezeka mpaka kwenye mahusiano nako ni shida cwez kumuamini mtu yeyote mpaka nahisi Nina kasoro katika uumbaaji wa nafsi yangu mambo ya kifamilia yana haribu maisha yangu kama individual
 
Ndugu zangu,

Kama nilivoandika kichwa cha habari mimi ni kijana niliye ajiriwa na mapato yangu kwa mwezi nikama 2000000 hivi.

Lakini nimekosa furaha kiasi kwamba sina furaha na maisha pamoja na watu wanaonizunguka hata hiyo pesa yote huishia kumaliza matatizo ya ndugu na kila mwanamke naingia naye kwenye mahusiano basi hata anza kuumwa kiasi pesa yote inaenda kumhudumia mgonjwa.

Sasa najiuliza nitakuwa nimerogwa au na kipindi hiki ndo nimekosa kabisa ujasiri wa maisha sasa je hiyo hali ya kawaida au kuna michezo ya kiswahili nafanyiwa na kama yupo mganga anitibie nikipona ndo namlipa maana nimeenda kwa hawa wa upako naona maigizo kabisa mtu ananiombea sijazimia ananilazimisha kuniangusha na wale wasaidizi wanashika kwa nguvu kama nina matatizo wakati nipo vizuri, ndo nikaona wote hawa maigizo.

Nimeenda kama kwa wa upako wa nne hivi wote hivohivo.

Sijui nifanye nini.
Nenda kwa Yesu nawe utapata faraja.
 
Wewe umekatika kidole unalia wenzio tumekatika vichwa tumetulia, acha uwoga wa maisha umeshakua ndiomana majukumu yana kukabili ndio maana ya kua uyaone. Sasa tuachie kelele.
 
Pole sana.kuna wengine wana matatizo zaidi kuliko wewe.punguza misaada. Jiwekee malengo. Hiyo hiyo laki mbili ipunguzie matumizi .kama unaweza biashara fikiria unachoweza ili ufanye na huku una kazi yako.nina rafiki yangu mshahara wake ni chini ya huo ila yeye ni mpishi Wa keki ilimchukua miaka 8 kuweza kujenga kisehemu kununua vifaa na kuajiri mtu Wa biashara hiyo ya keki.maana alidunduliza miaka yote. Usiwe na haraka ukajihisi umechelewa.

hyo ni laki mbili Au million mbili ? soma figure vizuri mzee
 
Pole ndugu yangu.. Mimi nimekuelewa vizuri.. Ila uamuzi unaopanga kuchukua hauna faida. Nakushauri ufuate ushauri wa wadau kama akina MshanaJr
 
Dah,pole sana mkuu hizo ji changamoto za maisha,ila nikusihi tu kwamba suala la kuchukumua maamuzinya kujiua si mwisho wa tatizo cha msingi ni kupambana nalo tatizo
 
Achana kwanza na hao wa upako ,,mtafute sheikh akusaidie kukuingiza katika dini ya haki na kweli ( uislam) uitamke shahada na uingie katika dini kwa imani yakini baada ya hapo upate visomo mujarabu. Kwa uwezo wa mwenyez Mungu insha Allah hayo matatizo yako yatafika mwisho. Fikiri sana juu ya comment hii ndugu yangu.
Ni kweli kuna kipindi mwaka 2015nilitafuta sheikh mmoja yombo dovya ila niliacha mafundisho baada ya kuhamia mbezi usiku huwa nateseka sana yaani ikifika muda wa kulala huwa nawaza nn kitaendelea asubuh naamka kama c Mimi naenda kazini kama roboti lisilo jielewa na waganga naogopa nika amua kurudi chuo kujiendeleza nako nikawa cjiamini mpaka darasani nikaacha chuo mwaka wa pili maana niliajiliwa na diploma miaka 7iliyopita kila nikataka kurudi shule mambo ya wanafamilia yananisumbua
 
Back
Top Bottom