Ebu acha kuwa na roho ya kike ya uoga uoga ww, uoga ndio unakusumbua hakuna kingine, kuwa na roho ngumu ngumuuuu sana kunizidi mm, hayo mawazo ya kiuoga uoga na hofu za kipuuzi zitakimbia na kukuacha, kuwa na roho ngumu kunizidi mm nimekwambia, acha ujinga mtoto wa kiume unalegea legea, ningekuwa nakujua ningekuwasha vibao vikali kali kabisa ukomae uwe mwanaume mgumu, simama very strong acha ujinga na uoga kuwa na roho ya chuma cha pua na mkono nyundo kama mm, narudia acha kulegea legea mtoto wa kiume, kuzaliwa mwanaume ni kuwa mgumu sana, akili kubwa & smart na katili ikibidi kuliko shetani then maisha yanakuwa bora kabisa.. Be very strong