Maisha yangu mabaya sana nakaribia kujiua

Maisha yangu mabaya sana nakaribia kujiua

Ndugu zangu kama nilivoandika kichwa cha habari mm ni kijana niliye ajiriwa na mapato yangu kwa mwezi nikama 2000000 hivi.

Lakini nimekosa furaha kiasi kwamba cna furaha na maisha pamoja na watu wanao nizunguka hata hiyo pesa yote huishia kumaliza matatizo ya ndugu na kila mwanamke naingia naye kwenye mahusiano basi hata anza Ku umwa kiasi pesa yote inaenda kumhudumia Mgonjwa.

Sasa najiuliza nitakuwa nimerogwa au na kipindi hiki ndo nimekosa jabisa ujasiri wa maisha sasa je hiyo hali ya kawaida au kuna michezo ya kiswahili nafanyiwa na kama yupo mganga anitibie nikipona ndo namlipa maana nimeenda kwa hawa wa upako naona maigizo kabisa MTU ananiombea sijazimia ananilazimisha kuniangusha na wale wasaidizi wanashika kwa nguvu kama Nina matatizo wakati nipo vizuri c ndo nikaona wote hawa maigizo.

Nimeenda kama kwa wa upako wa nne hv wote hivohivo.

Sijui nifanye nini
Lipa zaka.Kazi ya kumkemea alaye pesa yako ni ya Mungu.Usijipeleke kwa waliokutengenezea ajali,ili wakuchimbie kaburi kabisa!
Kama wewe ni mkristo,soma malaki 3:
Wala usiangalie anayeila pesa yako ya zaka,toa kama unampa Mungu.Yeye atadili na wale watakaoitumia vibaya.Hata asipodili nao,utakuwa umetimiza sehemu yako.Nakuhakikishia katika hili,Mungu atakutendea mambo makubwa.Ataachilia baraka za amani na utulivu,atakujazia kipimo cha furaha yako,atakupa tumaini na nguvu za kupambana na changamoto nzito zitakazokukabili.Mungu ni mwaminifu.
 
Kuna wenzako wana matatizo kama hayo na hawana kipato kama chako na bado wana survive... Achana na wazo la kujiua
Kuna tiba moja rahisi sana lakini very effective.... Ni tiba maarufu na imewasaidia wengi na mfanyaji ni wewe mwenyewe
Tiba ya kuogea chumvi hasa nzuri ni ile ya mabonge... Hicho tu.. Ogea mara mbili kwa siku kwa mwezi mzima huku kila ukiogea unanuizia mabaya yakuondoke na uwe na ladha kama chumvi
Mafuta yako yawe ya mzeituni... Jaribu hiyo hutojuta na haina side effects wala gharama za kazi
Mafuta ya mzeituni nayo unachanganya na chumvi kwenye kuogea kaka
 
Hapa watakupotosha sana njia sahihi ya kukubalika ni maombi pamoja na utoaji zaka yaani fungu la kumi kwa kila kipato chako.FULL STOP !, Wala huhitaji kufanyiwa na mtu zaidi yako mwenyewe na Mungu wako.Ukimtumaini katika kweli kwa kufunga na kuomba atarejesha vyote vilivyochukuliwa na ibilisi yule asiyependa haki za wanadamu.Hapa jukwaani watakudanganya sana kwa imani potofu walizonazo za kumwamini mwanadamu zaidi ya Mungu.Kujiua siyo mpango wa Mungu kwako.Huo ni mpango wa Shetani na malaika zake tu tena kemea sana.
 
Aah! Usijiue bhn mkuu huko kaburini ndio kuna tabu bora ata hizi za duniani laa sivyo uwe umetengeneza njia nzuri
 
Ndugu zangu kama nilivoandika kichwa cha habari mm ni kijana niliye ajiriwa na mapato yangu kwa mwezi nikama 2000000 hivi.

Lakini nimekosa furaha kiasi kwamba cna furaha na maisha pamoja na watu wanao nizunguka hata hiyo pesa yote huishia kumaliza matatizo ya ndugu na kila mwanamke naingia naye kwenye mahusiano basi hata anza Ku umwa kiasi pesa yote inaenda kumhudumia Mgonjwa.

Sasa najiuliza nitakuwa nimerogwa au na kipindi hiki ndo nimekosa jabisa ujasiri wa maisha sasa je hiyo hali ya kawaida au kuna michezo ya kiswahili nafanyiwa na kama yupo mganga anitibie nikipona ndo namlipa maana nimeenda kwa hawa wa upako naona maigizo kabisa MTU ananiombea sijazimia ananilazimisha kuniangusha na wale wasaidizi wanashika kwa nguvu kama Nina matatizo wakati nipo vizuri c ndo nikaona wote hawa maigizo.

Nimeenda kama kwa wa upako wa nne hv wote hivohivo.

Sijui nifanye nini
Man jiue tu, mi nakushauri haya maisha ni shida sana!
 
Ndugu zangu kama nilivoandika kichwa cha habari mm ni kijana niliye ajiriwa na mapato yangu kwa mwezi nikama 2000000 hivi.

Lakini nimekosa furaha kiasi kwamba cna furaha na maisha pamoja na watu wanao nizunguka hata hiyo pesa yote huishia kumaliza matatizo ya ndugu na kila mwanamke naingia naye kwenye mahusiano basi hata anza Ku umwa kiasi pesa yote inaenda kumhudumia Mgonjwa.

Sasa najiuliza nitakuwa nimerogwa au na kipindi hiki ndo nimekosa jabisa ujasiri wa maisha sasa je hiyo hali ya kawaida au kuna michezo ya kiswahili nafanyiwa na kama yupo mganga anitibie nikipona ndo namlipa maana nimeenda kwa hawa wa upako naona maigizo kabisa MTU ananiombea sijazimia ananilazimisha kuniangusha na wale wasaidizi wanashika kwa nguvu kama Nina matatizo wakati nipo vizuri c ndo nikaona wote hawa maigizo.

Nimeenda kama kwa wa upako wa nne hv wote hivohivo.

Sijui nifanye nini
Jiue tuu ndugu!
 
Kama usemayo yana ukweli,
Lakini wewe unauhitaji na kazi anayoweza kukufanyia Shekhe,
Au kazi na Maisha ya Shekhe?

Kuchanganya Upumbavu kwenye mambo ya Msingi ni umajununi.
Nahisi hapo ulipo sheikh kakupakata

Nisamehe sikujua kama wewe ni mwandani wake
 
Huwa nachoamini ukianza ushirikina, hautaacha, matatizo yako yote utataka usolve kwa ushirikina, utakuwa umeopen Pandora box
Ushirikina uko apii hapo alipozungumzia mshana au umekurupuka
 
Kuna wenzako wana matatizo kama hayo na hawana kipato kama chako na bado wana survive... Achana na wazo la kujiua
Kuna tiba moja rahisi sana lakini very effective.... Ni tiba maarufu na imewasaidia wengi na mfanyaji ni wewe mwenyewe
Tiba ya kuogea chumvi hasa nzuri ni ile ya mabonge... Hicho tu.. Ogea mara mbili kwa siku kwa mwezi mzima huku kila ukiogea unanuizia mabaya yakuondoke na uwe na ladha kama chumvi
Mafuta yako yawe ya mzeituni... Jaribu hiyo hutojuta na haina side effects wala gharama za kazi
Mshana Jr!
 
Pole sana.kuna wengine wana matatizo zaidi kuliko wewe.punguza misaada. Jiwekee malengo. Hiyo hiyo laki mbili ipunguzie matumizi .kama unaweza biashara fikiria unachoweza ili ufanye na huku una kazi yako.nina rafiki yangu mshahara wake ni chini ya huo ila yeye ni mpishi Wa keki ilimchukua miaka 8 kuweza kujenga kisehemu kununua vifaa na kuajiri mtu Wa biashara hiyo ya keki.maana alidunduliza miaka yote. Usiwe na haraka ukajihisi umechelewa.
Kasema million 2 bana au nimekosea?
 
Pole sana kaka. Kujiua sio solution, kujiua ni kukaribisha laana kwako na kwa kizazi chako. Ondoa mawazo hayo kabisa. Mungu na akakutetee.
 
Mwenzio ninalipwa laki tatu na nina mke na watoto wawili. Hazitoshi lakini napambana hivyo hivyo na sijawahi fikiria kujiua. Wake up bro. Wanaume tumeumbiwa mateso. Be a man. Milioni mbili kwa mwezi na huna familia unalialia?
 
Mungu alipokuumba kuja duniani alikuwa na makusudi yake, haukuja kwa bahati mbaya. Mawazo ya kujiua si mawazo sahihi hata kidogo, duniani tunaishi kwa kutegemea kudra za Mwenyezi Mungu, hatuishi kwa utashi wetu. Yanayokusumbua ni matatizo madogo sana ambayo majibu yake ni kama ifuatavyo:

  1. Kipato cha 2,000,000: Hapa una kipato ambacho 75% ya watanzania hawana kwa mwezi, unachotakiwa kufanya ni kuwa na mipangilio ya matumizi sahihi; toa msaada kwa kiasi ambacho hakiathiri mipango yako na ambacho ni ziada baada ya kumaliza mambo yako yote uliyojipangia (sio anasa). Usitoe msaada kitu ambacho wewe bado unakihitaji, hapo utakuwa unajiroga mwenyewe, jifunze kusema hapana kwa mambo yaliyo nje ya uwezo wako.
  2. Kukosa furaha: Furaha ni kitu ambacho nafsi yako inaamua na hakipatikani kokote isipokuwa wewe mwenyewe ndio unaweza kujipa, epuka vitu vinavyokukwaza, kaa mbali na marafiki wanaokufanya ukose furaha, jitahidi kufanya yale yanayokupa furaha mara zote.
  3. Mahusiano yanayokuumiza: Hilo suala la mahusiano kuwa sababu ya kukuumiza ni bahati mabaya za maisha, na pengine ni mipango ambayo huwa kipimo cha utu wako, mtu kuugua hachagui wala si suala ambalo lipo kwenye mamlaka ya mwanadamu, unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha unamuhudumia kadri ya uwezo wako, ikiwa inakumalizia pesa zako basi tafuta njia za kuwa na bimaza afya zitakupunguzia mzigo wa gharama za matibabu.
Mwisho kabisa, ukitaka kujiua; tafuta watoto wanaoishi katika mazingira magumu uzungumze nao, au ukipata wasaa kakae na wale omba omba mtaani au wazee ambao hali zao ni duni, zungumza nao kwa kina na ujaribu "kuvaa viatu vyao" halafu baada ya hapo tathmini uamuzi wako kama ni sahihi.

Nakutakia kila la kheri kwa maamuzi yako ya "kihehe"
 
Back
Top Bottom