Maisha yangu mabaya sana nakaribia kujiua

Maisha yangu mabaya sana nakaribia kujiua

Kama haya ndo matatizo pekee yanayofanya ujiue,basi naamini pengine Tanzania kusingekuwa na hata nusu ya idadi ya watu waliokuwepo sasa.Anyway kusema tu yanayokusibu kwa watu wengi hivi tayari umepunguza uwezekano wa mission yako.
 
Aaamen asante kwa mrejesho
Mshana samahani hii chumvi unaiweka kwenye maji yakuogea moja kwamoja au unaoga Kwanza kwamaji yabila chumvi alafu ukimaliza ndio unachukua maji yenye chumvi unajimwagia? samahani nieleweshe hapo
 
Umetaja kiwango cha pesa na kusema kinaisha haraka, kwa hapa nikadhani unaona pesa yako haikufaidii wewe.

Na nafikiri hii ndiyo big deal hapa.

Ruge (lecturer siyo wa Clouds) alisema uchawi ni coincidence na bahati, yaweza kua ni bahati mbaya au nzuri.
Mfano, umekuta boneti liko wazi oil stick imechomolewa siku kadhaa mbele ukapata ajali yaani hapo ni tukio limekutana na bahati mbaya ukapata ajali ambayo ulivyoitrace coincidence yake ni imetokea soon baada ya kukuta oil stick juu ya boneti.

Akasema kuamini au kutoamini uchawi ni uchaguzi wako.
Mm nahisi kunavitu nafanyiwa ndugu naweza kuwa na mipango haikamiliki napia muda unavyozidi kwenda nazidi kosa hali ya kujiamini na ndugu wananiona kama mkombozi kitu ambacho mm mwenyewe najiona bado kwani najua jinsi mambo yangu yanavyo simama kwa wao kunichukulia hivyo mpaka maisha nayaona hayana maana kwangu ila wao wanaishi coz mm nipo hai
 
Kwani ukijua ndio njia ya kutatua matatizo yako? Furaha yako haimtegemei mtu zaidi yako mwenyewe
 
Kuna wenzako wana matatizo kama hayo na hawana kipato kama chako na bado wana survive... Achana na wazo la kujiua
Kuna tiba moja rahisi sana lakini very effective.... Ni tiba maarufu na imewasaidia wengi na mfanyaji ni wewe mwenyewe
Tiba ya kuogea chumvi hasa nzuri ni ile ya mabonge... Hicho tu.. Ogea mara mbili kwa siku kwa mwezi mzima huku kila ukiogea unanuizia mabaya yakuondoke na uwe na ladha kama chumvi
Mafuta yako yawe ya mzeituni... Jaribu hiyo hutojuta na haina side effects wala gharama za kazi

Duh,

Uchawi one-on-one!

How in this world will any sane person believe this on matter predicament he/she is in?

Not one!
 
Njoo nyumbani uwesehemu ya familia yangu na utasaidia kazi zote za nyumbani sawa.
 
Un
Ndugu zangu,

Kama nilivoandika kichwa cha habari mimi ni kijana niliye ajiriwa na mapato yangu kwa mwezi nikama 2000000 hivi.

Lakini nimekosa furaha kiasi kwamba sina furaha na maisha pamoja na watu wanaonizunguka hata hiyo pesa yote huishia kumaliza matatizo ya ndugu na kila mwanamke naingia naye kwenye mahusiano basi hata anza kuumwa kiasi pesa yote inaenda kumhudumia mgonjwa.

Sasa najiuliza nitakuwa nimerogwa au na kipindi hiki ndo nimekosa kabisa ujasiri wa maisha sasa je hiyo hali ya kawaida au kuna michezo ya kiswahili nafanyiwa na kama yupo mganga anitibie nikipona ndo namlipa maana nimeenda kwa hawa wa upako naona maigizo kabisa mtu ananiombea sijazimia ananilazimisha kuniangusha na wale wasaidizi wanashika kwa nguvu kama nina matatizo wakati nipo vizuri, ndo nikaona wote hawa maigizo.

Nimeenda kama kwa wa upako wa nne hivi wote hivohivo.

Sijui nifanye nini.
ungepitia hata nusu ya maisha yangu ungekuwa ushajiua....
Kikubwa angalia tatizo linakuja wapi na njia ya kulitatua na weka malengo makubwa hata ukitaka jiua ukifikiria malengo yako unataka uishi miaka mingi ili kuyatimiza..
Kama tatizo ukipata kila mwanamke anaugua pesa inaishia hapo acha kwanza kuwa na mahusiano hata miaka miwili, pili kama ni ndugu ndio wanakumalizia pesa jaribu waelewesha una mipango gani na pesa zako!! Badilisha maisha yako kiujumla kama ulikuwa mtu wa kukaa ndani jaribu kila jioni kukaa na watu mzungumze maisha! Safiri hata kwa mwaka Mara moja kwenda nje ya nchi..
Kidogo kidogo utabadilika na kuishi kwa furaha..

NB:Mimi ningekuwa na kipato kama chako kitongoji chote nachoishi kingekuwa nyuma yangu!!
 
Pole sana mkuu
Nashukur ndugu kusema ukweli cfurahii maisha yangu hapa duniani cjui kama tatizo nawaza kama ningekuwa cna ajira na hali ingekuwaje kama HV tu sina furaha kuna muda nashinda kanisani napata imani lakini nikiona baadhi ya watu wanajiangusha na wale watoa huduma wengi nawajua kabla ya misa huwa nawaangalia unakuta ni watu wa kawaida wenye majibu mabaya kwa watu huwa nashuudia maana mm huwa nawahi kanisani masaa matatu kabla ya ibaada kuanza hivyo nao wana changia mm kukosa hali ya kuendelea kuomba kanisani
 
Pole sana.kuna wengine wana matatizo zaidi kuliko wewe.punguza misaada. Jiwekee malengo. Hiyo hiyo laki mbili ipunguzie matumizi .kama unaweza biashara fikiria unachoweza ili ufanye na huku una kazi yako.nina rafiki yangu mshahara wake ni chini ya huo ila yeye ni mpishi Wa keki ilimchukua miaka 8 kuweza kujenga kisehemu kununua vifaa na kuajiri mtu Wa biashara hiyo ya keki.maana alidunduliza miaka yote. Usiwe na haraka ukajihisi umechelewa.
Mkuu hiyo ni laki mbili au Milioni 2 ??
 
Mkuu kama unataka masuala ya iman hasa sali makanisa yasiyo na maombi ya kuangushana. Maana huko kwenye kukemewa kwa nguvu mate yote yanakupata uson huku ukisukumwa kwa kutikiswa kwa nguvu na kulazimishwa kudondoka hapafai. Pia fata kwanza ushauri wa mshana hapo kwa mwezi mmoja kisha uje utupe mrejesho
Nashukur ndugu kusema ukweli cfurahii maisha yangu hapa duniani cjui kama tatizo nawaza kama ningekuwa cna ajira na hali ingekuwaje kama HV tu sina furaha kuna muda nashinda kanisani napata imani lakini nikiona baadhi ya watu wanajiangusha na wale watoa huduma wengi nawajua kabla ya misa huwa nawaangalia unakuta ni watu wa kawaida wenye majibu mabaya kwa watu huwa nashuudia maana mm huwa nawahi kanisani masaa matatu kabla ya ibaada kuanza hivyo nao wana changia mm kukosa hali ya kuendelea kuomba kanisani
 
Kwa uandishi huo milion mbili huna wewe
Kaka nimeomba mawazo ya watu ilinijue ni lipi litanifaa niondokane na hali hii umeshawahi kusikia mtu kachukua silaha kaenda kupiga watu hovyo coz ya kutojipenda yy na wanaomzunguka nimeweka kipato changu c kujiringanisha Bali kutoa kama dira kwa watakao nipa ushauri wasijikite kwenye hali ya uchumi sana kwani naweza kujihudumia na kuhudumia wengine tatizo langu cna furaha ya maisha na nimekosa hali ya kujiamini na nilipofikia ctaki kundelea mbele kufikia uzee cdhani kama jinsi ninavyo ishi ninafuraha
 
Ndugu yangu nimebadili nyumba za kupanga nikifikiri labda zina madudu yaani Nina ajira lakini bado nakosa furaha na cjui ni marafiki nilionao nikanunua usafiri lakini cku nimepaki nyumbani nikakuta kitu cha ajabu bonet ya mbele imefunguliwa mtu kachomoa oil stick tu kisha kaweka juu ya injini aikupita cku tatu nilipata ajali mbaya lakini nikapona ucku naota mambo ya ajabu naona sura lakini czfahamu nimeshakutana nazo wapi na ndoto moja inaweza kuja kujirudia mwezi mmoja baadae alafu isitoshe maisha ya utotoni niliteseka sana na uchawi sumbawanga ikiwemo kujikuta nimelala nje wakati nilikuwa ndani isije kuwa bado na andamwa maana kuna vifo vilitokea kwenye familia ni vyakutatanisha koo yangu inaendekeza ushirikina sana hata ndugu upande wa baba hawashikamani mpaka utokee msiba hapo patakuwa na majungu na ugomvi yaani kifupi naichukia family tree yangu inanifanya nisi ishi maisha yangu halisi ya upendo na amani
Mkimbilie Yesu Kristo kwa haraka sana, yeye ni mwokozi na alishaahidi kukulinda na maadui wote na nadiyo maana alikufa msalabani ili upone. Kimbia katafute Mchungaji utakaye mwanini akubadili maisha yako kwa jina hilo la Yesu. Haya si mambo makubwa ni madogo sana. Kwa Yesu utapata furaha na amani.
 
Back
Top Bottom