Maisha yangu mabaya sana nakaribia kujiua

Maisha yangu mabaya sana nakaribia kujiua

Isee unapokea hella yote Hiyo halafu hauna amani na maisha, mpunga mrefu huo kujua sana kunakupa tabu. Kuna Jamaa hapa anakazi yakuunga unga lakini anatoka kitambi. Usitake kuwa kamafulani wakati uwezo huo huna. Ni ndoto ya vijana wengi wakitanzania kupata mshahara kama huo
 
Kuna wenzako wana matatizo kama hayo na hawana kipato kama chako na bado wana survive... Achana na wazo la kujiua
Kuna tiba moja rahisi sana lakini very effective.... Ni tiba maarufu na imewasaidia wengi na mfanyaji ni wewe mwenyewe
Tiba ya kuogea chumvi hasa nzuri ni ile ya mabonge... Hicho tu.. Ogea mara mbili kwa siku kwa mwezi mzima huku kila ukiogea unanuizia mabaya yakuondoke na uwe na ladha kama chumvi
Mafuta yako yawe ya mzeituni... Jaribu hiyo hutojuta na haina side effects wala gharama za kazi



Mshana sitakusahau milele kwa tiba hii .. Mungu akubariki kaka
 
Yani Matatizo ya ndugu yanakukimbiza duniani, Sekeseke la jehanamu utaliweza kweli ..Samahani ila huo ni ufala.. Jiue tu ndugu.. Mkaijaze jehanamu mapema tuliobaki tuende peponi..

Be kind Kaboom.

He is suffering, don't make it harder for him my friend.
 
Sikushauri kwenda kwa hao watu, maana kuna mdada anajiita super women ndio kansela wao wanawake lakini matendo anayoyafanya yeye ndio anahitaji kukanseliwa kuliko mtu mwingine yoyote.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jkilia
 
Pole sana.kuna wengine wana matatizo zaidi kuliko wewe.punguza misaada. Jiwekee malengo. Hiyo hiyo laki mbili ipunguzie matumizi .kama unaweza biashara fikiria unachoweza ili ufanye na huku una kazi yako.nina rafiki yangu mshahara wake ni chini ya huo ila yeye ni mpishi Wa keki ilimchukua miaka 8 kuweza kujenga kisehemu kununua vifaa na kuajiri mtu Wa biashara hiyo ya keki.maana alidunduliza miaka yote. Usiwe na haraka ukajihisi umechelewa.
Hiyo ni 2M siyo laki 2 mkuu!
 
Pole sana.kuna wengine wana matatizo zaidi kuliko wewe.punguza misaada. Jiwekee malengo. Hiyo hiyo laki mbili ipunguzie matumizi .kama unaweza biashara fikiria unachoweza ili ufanye na huku una kazi yako.nina rafiki yangu mshahara wake ni chini ya huo ila yeye ni mpishi Wa keki ilimchukua miaka 8 kuweza kujenga kisehemu kununua vifaa na kuajiri mtu Wa biashara hiyo ya keki.maana alidunduliza miaka yote. Usiwe na haraka ukajihisi umechelewa.
sio laki mbili, hiyo ni milioni mbili.
 
Chukua chumvi ya mabonge changanya kwenye maji ya kuogea kisha ogea mara moja ama mbili kwa siku
Mshana ni kipimo gani cha chumvi kinatakiwa, na upatikanaji wa mafuta ya mizeituni ukoje I mean wp mtu anaweza pata.
 
Iliyoandikwa hapo na mtoa mada naona kama sio laki mbili ni zaidi ya laki Mbili. Au nivae miwan
 
Pole sana. Kama upo Dar njoo inbox nikuelekeze jinsi ya kukutana tuombe pamoja na Mungu atakurejeshea furaha ya maisha uliyopoteza
 
Hiii tiba ni nzuri hata kwa wanaotafta mafanikio yoyote?? Lets say natafta kazi, afu hayo mafuta ya mzaitun ndio mafuta gan???
Mafuta ya Mzaituni ndio mafuta gani si ndio mafuta ya Mzaituni uliza yanapatikan wapi sio ndio mafuta gani.

Chumvi ya mawe na mafuta ya Mzaituni vyote utapata kwenye maduka ya vitu vya asili, lakini hata maduka ya vyakula ya wapemba mafuta haya yapo kwani yanapikiwa pia.
 
Back
Top Bottom