Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 20,096
- 61,512
Kila kitu huanza na nia
Ukiweka nia hakutakuwa na kukata tamaa kwenye kuipambania na kuitimiza ndoto yako
Wale tuliozaliwa zamani vijijini, tulipewa elimu ya kujitegemea tangu tukiwa jandoni ili kuwa Baba bora kwenye familia tutakazozianzisha....baada ya hapo ni kupambana kwa kila hatua
Binafsi nilianza kujitegemea mara baada ya kuhitimu kidato cha sita, kwa kuanza kupiga temporary works huku nalima na kununua mazao kwa Wakulima
Hadi naanza first year Chuo Kikuu, tayari nikawa nina biashara ya kulipa kodi Serikalini
Wakati wenzetu wanalia ukata boom linapokata/kuchelewa kwangu ikawa ni tofauti kabisa
Ukiwa na mind set ya hivi, huwezi kukwama...hata tukipoteza mitaji huwa tunajipanga na kurudi tena barabarani
Ukiweka nia hakutakuwa na kukata tamaa kwenye kuipambania na kuitimiza ndoto yako
Wale tuliozaliwa zamani vijijini, tulipewa elimu ya kujitegemea tangu tukiwa jandoni ili kuwa Baba bora kwenye familia tutakazozianzisha....baada ya hapo ni kupambana kwa kila hatua
Binafsi nilianza kujitegemea mara baada ya kuhitimu kidato cha sita, kwa kuanza kupiga temporary works huku nalima na kununua mazao kwa Wakulima
Hadi naanza first year Chuo Kikuu, tayari nikawa nina biashara ya kulipa kodi Serikalini
Wakati wenzetu wanalia ukata boom linapokata/kuchelewa kwangu ikawa ni tofauti kabisa
Ukiwa na mind set ya hivi, huwezi kukwama...hata tukipoteza mitaji huwa tunajipanga na kurudi tena barabarani