Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,220
- 138,649
Hili jambo mbona linajulikana kidunia limeandikiwa mpaka vitabuAcheni kukuza mambo bwana, nani hawaheshimu?
Hili jambo mbona linajulikana kidunia limeandikiwa mpaka vitabuAcheni kukuza mambo bwana, nani hawaheshimu?
Mnakuza mambo tu.Hili jambo mbona linajulikana kidunia limeandikiwa mpaka vitabu
Sawa nitakua makini kipenz nitakuchagulia freshMm mdogo ako bhana, tafuta hata mwenye afadhali sio wale rejected
Kwann Unataka kunipa mzigo 😭
Ukifeli Town rudi home kaweke Kambi,rudisha mashambuulizi kwa kipa kuanza upya sio dhambiNimechagua unafuu wa kurudi nyumbani
Ndio njoo unibwagie moyo nikupende nikutunze na nikuenzi pia, watoto wakike wanahitaji kustirika, Sisi wanaume ndo wenye jukumu hilo tulilopewa na Mwenyazi Mungu. Karibu mrembo nikustiri.Unataka kunioa
🤝Sawa nitakua makini kipenz nitakuchagulia fresh
Njoo uwe mchepuko wangu nikuhudumieWakubwa shikamoon
Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.
Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Sawa asanteNdio njoo unibwagie moyo nikupende nikutunze na nikuenzi pia, watoto wakike wanahitaji kustirika, Sisi wanaume ndo wenye jukumu hilo tulilopewa na Mwenyazi Mungu. Karibu mrembo nikustiri.
nipate wa hivi nipumzishe miguu yangu na akili maana kila kukicha naiwaza kesho,, saivi narukia daladala kama spiderman😓Mkiambiwa muwaheshimu wanaume mnakuwa wabishi, kuna mtu ameamka asubuhi, anakuwazia wewe na welfare yako, huyu mtu na aheahimiwe sana.
Thanx for the complement😅, huwezi kuwahemu wanaume kama hujaishi single na kujipambania mwenyewe, waliotoka straight home hadi ndoa hawawezi kuelewaMimi mwenyewe nimeanza kuwaheshimu aisee, kujipambania si mchezo!
Wanaume nao wa manati sans siku hizi mjukuu!nipate wa hivi nipumzishe miguu yangu na akili maana kila kukicha naiwaza kesho,, saivi narukia daladala kama spiderman😓
🤣🤣🤣🤣😅😅 Watoto wa kike siku hizi kama wanavuta mambo yasio eleweka...
Kuna amekuwa akihudumiwa kila siku, last week kumetoka kutokuelewana akasusa, juzi analia ametelekezwaa
OlewaWakubwa shikamoon
Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.
Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Pole sanaTangazo limeeleweka, mods mpeni lipa namba huyu!
Asante babayoyooHayo mambo niya kiume dada.
Mwezi wa sita naleta mahari kwenu.
Njo tujenge maisha yetu, tuwalete wanetu dunian. tulee.
Uniite baba yoyooo
Nikuite mama yoyooo
Wanawake hawajaumbiwa MATESO ,acha kujitesa.Wakubwa shikamoon
Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.
Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Hakuna namna nyingine ya kuweza kutoka kwenye maisha magumu zaidi ya kuolewa,kwann mtoto wa kike atafsiriwe vibaya siku zoteOlewa