Blockchain
JF-Expert Member
- Feb 27, 2026
- 950
- 2,646
UtamuUnataka kunioa
UtamuUnataka kunioa
Mkiambiwa muwaheshimu wanaume mnakuwa wabishi, kuna mtu ameamka asubuhi, anakuwazia wewe na welfare yako, huyu mtu na aheshimiwe sana.The joke is on you, ukirudi kwa wazazi utateseka, ukiolewa uhudumiwe utateseka, ukisema ujiajiri utateseka pia 🤣
Kifupi mateso ni kifurushi cha kudumu chagua yenye unafuu kidogo baaaaasi!
AsanteHongera kwa kujitambua kama nafas ipo hom bora tu ukajifugie vikuku na vibustan kuliko kuishi maisha ya hovyo ya kujitakia
Siyo wote😅😅 Watoto wa kike siku hizi kama wanavuta mambo yasio eleweka...
Kuna amekuwa akihudumiwa kila siku, last week kumetoka kutokuelewana akasusa, juzi analia ametelekezwaa
akili za wanawake sawa tu, kinachowabadilisha mitazamo ni mazingira tuSiyo wote
Mimi mwenyewe nimeanza kuwaheshimu aisee, kujipambania si mchezo!Mkiambiwa muwaheshimu wanaume mnakuwa wabishi, kuna mtu ameamka asubuhi, anakuwazia wewe na welfare yako, huyu mtu na aheahimiwe sana.
Umemkomalia huyo dada wa watu! Kwamba hakuna wanawake wanaojitambua?akili za wanawake sawa tu, kinachowabadilisha mitazamo ni mazingira tu
Umeona wapi nimeandika hivyo ? ( hapo nilipo bold )Umemkomalia huyo dada wa watu! Kwamba hakuna wanawake wanaojitambua?
Kila kona unaandika akili za mwanamke maana yake nini?Umeona wapi nimeandika hivyo ? ( hapo nilipo bold )
Wewe umeelewaje ?Kila kona unaandika akili za mwanamke maana yake nini?
Achana nayoWewe umeelewaje ?
Bila kupata suluhu ?Achana nayo
NdioBila kupata suluhu ?
Ulikua huwaheshimu?Mimi mwenyewe nimeanza kuwaheshimu aisee, kujipambania si mchezo!
Baba najua lazima niwe mwenyewe ila kwasasa Acha kwanzaMarry Diana,utakaa nyumbani hadi lini? Kuna umri utafikia iwe unataka,hutaki itakubidi ujitegemee, wazazi/walezi/ndugu watakuona mzigo,ila sikushauri uondoke nyumbani ikiwa huna uhakika wa utaishije huko unakokwenda. Jipange hapo hapo nyumbani, eidha uolewe,au uwe stable kiuchumi kuishi peke yako bila kumtegemea mwanaume,ila ukishindwa sana,baada ya plan zote kugoma nitafute tuishi pamoja si mbaya sana