Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 45,303
- 37,097
kilimo ajira bwerere, biashara ajira bwerere, ufugaji ajira bwerere, usafirishaji ajira bwerere n.kFursa ipi hiyo,hebu nijuzee
kilimo ajira bwerere, biashara ajira bwerere, ufugaji ajira bwerere, usafirishaji ajira bwerere n.kFursa ipi hiyo,hebu nijuzee
Basi wewe ni wife matirio..Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Ushaanza fujo zako,vp mzima lakini😂Hongera sana rafiki .
Nimekukumbuka mno..
Alafu mbna skuizi sioni status zako...
Nimemiss ka mwanya kako 😂😂😂
Asante Kwa muongozokilimo ajira bwerere, biashara ajira bwerere, ufugaji ajira bwerere, usafirishaji ajira bwerere n.k
Pole sana! Unafanyia wapi kazi nikupe hifadhi bure?Wakubwa shikamoon
Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.
Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Mi mzima marry kiukweli nimekukiss sana aiseee dah nimepanga nije kukusalimia hapo dearUshaanza fujo zako,vp mzima lakini😂
Unatakiwa ubet kwenye posiboThe joke is on you, ukirudi kwa wazazi utateseka, ukiolewa uhudumiwe utateseka, ukisema ujiajiri utateseka pia 🤣
Kifupi mateso ni kifurushi cha kudumu chagua yenye unafuu kidogo baaaaasi!
Au nikuazime ki IST changu? Kwanini uteseke.Wakubwa shikamoon
Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.
Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Duu hii kaliHata kuishi nako ni mateso tu kufa ili tukuone una hasira kweli kweli.
Teh teh teh teeeeeeeh!Thanx for the complement😅, huwezi kuwahemu wanaume kama hujaishi single na kujipambania mwenyewe, waliotoka straight home hadi ndoa hawawezi kuelewa