ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,728
- 127,681
Mwenyewe unaelewa japo matawi ya juu!!Teh teh teh teeeeeeeh!
Mwenyewe unaelewa japo matawi ya juu!!Teh teh teh teeeeeeeh!
Umeshindwa kukaza sio?Wakubwa shikamoon
Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.
Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Teh teh teh teeeeeeh!Mwenyewe unaelewa japo matawi ya juu!!
Nakazia 📌kwa staili hii utajiuza tu ni swala la muda
Basi njoo nikuooe tuishi wote, tugawane huu ugumuWakubwa shikamoon
Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.
Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Sipendi sana hicho kicheko chakoTeh teh teh teeeeeeh!
Sawa baba🤣Sipendi sana hicho kicheko chako
Rudi nyumbani mwaya ukapate muda wa kujitafakari upyaNimechagua unafuu wa kurudi nyumbani
Ahsante dada,hii ni moja ya comment Bora kwanguRudi nyumbani mwaya ukapate muda wa kujitafakari upya
Olewa Chief, hutoteseka hivyo ila utapewa raha na huduma tu. Mwezi tu unanenepa.Wakubwa shikamoon
Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.
Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Amesema anarudi nyumbani kwako, kuteseka sio sifa!kwa staili hii utajiuza tu ni swala la muda
Sasa fikiria upande wa mwanaume. Katika huo huo ugumu kuna binti wa mtu mwenye nguvu na akili timamu kuweza kufanya kazi. Anafikiri ni wajibu wako kumpa hela na kumtatulia shida zakeWakubwa shikamoon
Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.
Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Kule kikaoni beijing, getrude mongella alivyowaambia kuolewa na kuwa mke wa kukaa nyumbani ni kukoseshwa haki yako akuwaambia uhalisia wa mtaani?nipate wa hivi nipumzishe miguu yangu na akili maana kila kukicha naiwaza kesho,, saivi narukia daladala kama spiderman😓
Unayaongelea kwamba ndio yanafanywa mwanamke yote ni safe and predictable. Hauwezi kufananisha na harsh and uncertainty anazokutanazo mwanaume mtaani. Angalia mwenzenu katema bungoKwamba anafanya charity kuwaza hiyo welfare yangu?
Unakua house manager,mshauri kiburudisho,incubator bila kusahau kupandandisha thamani ya uanaume wake huko mitaani.
Kwa kifupi wote tuheshimiane tunategemeana.
Ndo maana nimemwambia achague mateso anayoona atayamudu,maana huko ndoani akikutana na mtu kama wewe unaeona unamfanyia hisani mbona maji ataita mma 😩
tuliza komwe komenti haukuhusu weweAmesema anarudi nyumbani kwako, kuteseka sio sifa!