Maisha ya kujitegemea ni magumu nyie

Maisha ya kujitegemea ni magumu nyie

Akili ndio itakukaa vizuri ukijitegemea. Maana ukizoea kua tegemezi ni mbaya hata kwenye familia yako baadae. Maisha yana kupanda na kushuka, inaye mtegemea siku akipata changamoto itakuaje?
Acha kwanza kipindi kigumu kipite
 
Wakubwa shikamoon

Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.

Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Usikate tamaa
 
Wakubwa shikamoon

Maisha ya kujitegemea ni magumu sana,yaani upange chumba ulipie,kisha uanze kupambana na daladala kukupeleka kazini siyo Jambo rahisi ,kiufupi narudi nyumbani kuteseka siyo sifa.

Siwezi kuuza mwili wangu ili kutimiza baadhi ya mujukumu huu ni utumwa kwangu sikubali lol
Usikate tamaa, usirudi nyuma. Kwenye changamoto ndio kwenye mafanikio epuka comfort zone
Pambana upate chako.. Ukimwengu wa leo ni KATILI kwa wasio nacho..!
 
Back
Top Bottom