Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Amesamehewa kwa kuzusha uwongo na ameambiwa asirudie
Mkuu, si wewe utathibitisha ni uongo au ni kweli. Au alikuwa anafurahisha watu mitandaoni. Au amebaki peke yake.
Jiepushe na kuzungumzia nadharia na vitu usivokuwa na uthibitisho navyo.
Mwache hakimu, mawakili wafanya kazi zao. Mahakama sio sehemu ya hisia.