Zitto Kabwe anazungumza na Wananchi wa Kibondo katika Uwanja wa Community Center - Kigoma

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,813
11,991

Leo Kiongozi wa ACT Wazalendo, Ndugu Zitto Kabwe ameanza ziara ya kikazi katika Jimbo la Muhambwe Kibondo.

Ameanza ziara yake kwa kutembelea Soko la Kibondo na kufungua Ofisi ya ACT Jimbo la Muhambwe.
F_IQ6DfXkAAes8r (1).jpeg

F_IQ34xWcAAg--r (1).jpeg

 
Back
Top Bottom