Mahakama ya Wilaya ya Temeke yavunja ndoa baada ya Bwana harusi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa miaka 5. Bibi harusi kapotezewa fertility age

ila ndoa ya kikristo inaweza ikakupotezea sana muda bila kutarajia.
Ndoa ya dini gani haikupotezei mda?! Kuhusisha mtu kushindwa majukumu kama mume na dini si sawa.

Na ushauri wako wa kufanya zinaa kabla ya ndoa ni hofu tu.
 
NDIO sababu bwana harusi alikuwa anatumia vidole tu kumchokonoa maana uume hausimami.

mwanamke akikaa muda mrefu bila kupata tendo la ndoa hormone zake zinavurugika na fibroids yanamjia
Alishindwa kupaka mkongo?
 
sasa tufanyeje wajameni mbon tunakua confused,,au bas kwanz nshatest mtambo 😂
 
Mtaniiii, hadi wewee?
😂😂
50 cent.gif
 
Mahakama ya wilaya ya Temeke yavunja ndoa ya kikristo kati ya Salome Laurian Maganga na Bwana Michael Peter Motau baada ya ushahidi kuonesha bwana harusi hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa.

Ndoa hiyo iliyodumu kwa miaka mitano. ilifungwa mwaka 2019 na imevunjwa mwaka 2024. Bibi harusi alalamika kupotezewa muda wake wa uzazi kwa miaka mitano umepita bure bila kupokea mbegu yoyote.


NIMEJIFUNZA SEX BEFORE MARRIAGE NI MBAYA ILA NA MARRIAGE BEFORE SEX NI MBAYA PIA

Uzinzi sio mzuri, ila ndoa ya kikristo inaweza ikakupotezea sana muda bila kutarajia. imagine binti kaolewa na miaka 30 halafu ndoa inavunjwa akiwa na miaka 35, malengo yake ya uzazi kupata watoto ni kama yameshaharibiwa baada ya mkataba wa ndoa Hiyo kumfunga kwa miaka mitano
Duh!...Dunia lukumbalukumba....
 
Alikuwa na malengo yake mengine hovyo labda ya kupata mali, Mwanaume mkifunga ndoa miezi mi 3 tu hajawahi lala na wewd kwa nini usiende Mahakamani kuvunja ndoa? Kwa nini angoje miaka mi 5, kwa nini sio 1, 2, 3 and kwa nini sio 15, tena unaweza kuta alikuwa anajua, kamgeuka jamaa, kuna story upande wa pili wa shilingi.
Huo ni ulaghai tu, wameshindwana wanatumia sababu za kijinga. Ile wiki ya kwanza ilitosha kuvunja ndoa km ingelikuwa ni kweli
Yeah!...hili linafikirisha Sana...
 
Inaitwa consumation of marriage.... hii ndo hatua ya mwisho ya kuhalalisha ndoa, na inapaswa kufanyika usiku wa harusi, bibi/bwana harusi anahaki ya kuivunja ndoa asubuhi yake endapo tendo hili halikufanyika... Sasa swali ni je...
Kwanini bi harusi hakuvunja ndoa Jana yake akangoja mpaka miaka mitano5?
Ni kana kwamba kuna kitu Bi Harusi alitaka...​
..... ...... ...... .....
 
Huo ni ulaghai tu, wameshindwana wanatumia sababu za kijinga. Ile wiki ya kwanza ilitosha kuvunja ndoa km ingelikuwa ni kweli
What if kama tatizo lilijitokeza miez kadhaa baada ya ndoa? Unaweza Kuta pengine jamaa alikuwa anatembeza moto fresh tu kwa warembo tofauti tofauti sasa alipoamua kuchagua mmoja wa kuoa hao wengine wakaone wamwendee kwa mganga kumtia adabu.
 
Inaitwa consumation of marriage.... hii ndo hatua ya mwisho ya kuhalalisha ndoa, na inapaswa kufanyika usiku wa harusi, bibi/bwana harusi anahaki ya kuivunja ndoa asubuhi yake endapo tendo hili halikufanyika... Sasa swali ni je...
Kwanini bi harusi hakuvunja ndoa Jana yake akangoja mpaka miaka mitano5?
Ni kana kwamba kuna kitu Bi Harusi alitaka...​
..... ...... ...... .....

Inaonekana bibi harusi ni mlokole. Akajua mambo yatakaa sawa tu kwa maombi..

Alipoona mambo hayabadiliki ndipo akasema kwa wakwe na ndipo vilivyoanza vikao vya ndugu. Mwishoe vikao vikahamia kanisani. Ndipo wakaenda mahakamani
 
Inaonekana bibi harusi ni mlokole. Akajua mambo yatakaa sawa tu kwa maombi..

Alipoona mambo hayabadiliki ndipo akasema kwa wakwe na ndipo vilivyoanza vikao vya ndugu. Mwishoe vikao vikahamia kanisani. Ndipo wakaenda mahakamani
Watu wote mnaosali tunawaambia tena, maombi hayajawahi kutibu kitu, acheni kupoteza mda.
 
Back
Top Bottom