Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Ndoa zimekuwa na utata kila kukicha, sasa mtu ana miaka 62 anataka kumuaacha kwa nini? Au ndio kutaka kugawana mali mapema?
Adela Ngogolo (42) amefungua kesi ya madai mahakama ya mwanzo Ilala akiomba kupewa talaka na mumewe, Alcado Mkondola (62) kwa madai kuwa ameshindwa kumpatiwa haki yake ya tendo la ndoa kwa miaka mitano. Adela na mumewe kwa pamoja wanaishi Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam.
Kwa hisani ya Dar Mpya.
Adela Ngogolo (42) amefungua kesi ya madai mahakama ya mwanzo Ilala akiomba kupewa talaka na mumewe, Alcado Mkondola (62) kwa madai kuwa ameshindwa kumpatiwa haki yake ya tendo la ndoa kwa miaka mitano. Adela na mumewe kwa pamoja wanaishi Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam.
Kwa hisani ya Dar Mpya.