Macho ya Wanaume

Macho ya Wanaume

nesi huyo au mcho yangu yanaona vibaya?

ngoja ni zoom

n0 r0se with0ut th0rn
 
Shida kuna viumbe wana sura mbili ukicheck moja lazima umalizike na nyingine... Hamna namna

-Silasc-
 
nimegundua wanawake kwa sasa ndiyo wanaoongoza kugeuka kuwatizama wanawake wenzao kuliko sisi wanaume.
Trust me!
Kama huamini fanya utafiti,utagundua ukweli huu.
Zama zinabadilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hawa wanawake wanajisikiaje wanapovaa nguo kama hizi? Kweli wanakuwa wanajiheshimu ipasavyo?
 
ndo maanakwenye imani yetu tuka lazimishwa kutazama chini/kushusha macho, yaani sie wanaume katika factor za kuona na kuangalia ni zaidi ya kutumia gamma rays. yaani tunauwezo wa ku sense mpaka temperature ya sehemu husika, tena kwenye 4th dimension.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom