Macho ya Wanaume

Macho ya Wanaume


Mbona tunaangaliga wote wote sema umakini unakua zaidi kwa wenye zigo sababu hata wawe safi bado kuingia Mbinguni bado itakua shida
Nawajua tabia yenu mkuu huwa wenye mizigo ndio mnawapa kipaumbele.

Ila miaka ya sasa wenye mizigo walivyojaa kuanzia asubuhi mpaka jioni kama kazi yako itakuwa kusoma matangazo ujue ukifika nyumbani shingo inauma.
 
ndo maanakwenye imani yetu tuka lazimishwa kutazama chini/kushusha macho, yaani sie wanaume katika factor za kuona na kuangalia ni zaidi ya kutumia gamma rays. yaani tunauwezo wa ku sense mpaka temperature ya sehemu husika, tena kwenye 4th dimension.
 
La kushoto fupi, la kulia refu.
Cha ajabu, la kushoto litakaporefuka, la kulia litafupika.
Swali linalomchanganya hadi anataka kuvunjika shingo ni kuwa "hivi hilo lote ni ya lake, mbona haliwiani kama ya mwenziye?"
Halafu hana adabu. Mtu anayemtathimini ni mkubwa wake, makamu ya mamake mdogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom