Macho ya Wanaume

Macho ya Wanaume

Yaani ukishasema Mizigo tu hapo hapo pigia mstari,Hata mm nilikuwa natembe a na Zigo sasa Barabarani kila M2 lazima ageuke Japo nilikuwa mwanaume Wake lkn nilikuwa najikaza 2.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Pole sana ikawaje sasa. Ukawa unamficha ficha ama uliacha tu wenzako nao wasome tangazo.
 
Nachukiaga hiyo tabia. Ila ndio hivyo huwa sina jinsi saa nyingine zaidi ya mie kugeuza shingo yangu nami nisome tangazo.

Ila wanaume kwa shingo feni mungu anawaona jamani. Khaa.
Ndiyo Mungu katupa mtihani huo emmyta tutafanyaje sasa! Sie wenyewe hatupendi ila tunalazimika kwa namna Mungu alivyowapendelea

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Mmeshauita mtihani mkuu lol. Mi naona mnajiendekeza bana kwani ukipishana na mzigo pasi kugeuza shingo utapungukiwa nini?
Unajua tukikutana nanyi kitu cha kwanza kukuvuta ni face/reception. Ikiwa face ipo nzuri, lazima inakuvuta kutaka kuangalia na nyuma mzigo upo?
Lkn kama face imekaa kama mwanaume/mbaya utaona hakuna mwanaume atakayegeuka kusoma tangazo/chura. Anachapa lapa tu mbele kwa mbele

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom