Macho ya Wanaume

Macho ya Wanaume

Nachukiaga hiyo tabia. Ila ndio hivyo huwa sina jinsi saa nyingine zaidi ya mie kugeuza shingo yangu nami nisome tangazo.

Ila wanaume kwa shingo feni mungu anawaona jamani. Khaa.
Tatzo wadada wanakusud,unakuta MTU ana bonge la mkia AF anavaa hovyo ASA ile kugeuka ni unconditional rxn jaman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nachukiaga hiyo tabia. Ila ndio hivyo huwa sina jinsi saa nyingine zaidi ya mie kugeuza shingo yangu nami nisome tangazo.

Ila wanaume kwa shingo feni mungu anawaona jamani. Khaa.
Huna chura ww..waangalie nini sasa
 
Sie tunaumia roho lakini ujue pacha.

Saa nyingine hadi hamu ya kufuatana na nyie inapotea mana kila mnapopishana na mizigo lazima shingo igeuke.
Yaani ukishasema Mizigo tu hapo hapo pigia mstari,Hata mm nilikuwa natembe a na Zigo sasa Barabarani kila M2 lazima ageuke Japo nilikuwa mwanaume Wake lkn nilikuwa najikaza 2.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Kusema huyu jamaa anasoma tangazo sio kweli maana tangazo liko nusu, nadhani atakuwa anatazama ule mzigo uliofungwa kwenye pikipiki km unataka kuanguka hv..
 
Mwanaume lazima awe na hisia na apende vitu vizuri kwa muonekano.
Like wise ukimuona mwanamke anayejiweka kama mwanaume utaona hafai maana hana haiba ya kike.

Moja ya hali mwanaume kuonesha yuko active ni lazima awe active na vitu vyenye mvuto.

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Sie tunaumia roho lakini ujue pacha.

Saa nyingine hadi hamu ya kufuatana na nyie inapotea mana kila mnapopishana na mizigo lazima shingo igeuke.
Na nyie kuna watu wanawageukia ujuwe..!! na sisi twavumiliaga tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom