Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,084
- 122,429
Tena mkifika home usipokaa vizuri unaweza ongezwa. Sasa shida ya nini yote hiyo.![]()
![]()
![]()
na kila mtu anashika njia yake mtakutana home
Tena mkifika home usipokaa vizuri unaweza ongezwa. Sasa shida ya nini yote hiyo.![]()
![]()
![]()
na kila mtu anashika njia yake mtakutana home
Hapo sasa ni sawa na kumwambia ajizuie kupiga chafya, hilo ni tendo lisilo la hiyari ujue.Punguza Mkuu Mshipa hiyo kutokea isitokee lol.
Hahaha naanza rasmi jumapili karibuHahaaa. Na wewe unataka uwe wa mwisho kutoa sadaka. Siku ukienda nitonye basi nami nije nikuone swahiba

Heee. Hivyo kigeuza shingo ni kama kupiga chafya.Hapo sasa ni sawa na kumwambia ajizuie kupiga chafya, hilo ni tendo lisilo la hiyari ujue.

Ahsante sana swahiba. Ila naweza shindwa fanya mengine kazi yangu ikawa kusubiri nikuone unavyosoma matangazo.Hahaha naanza rasmi jumapili karibu![]()
![]()
Hahaha ni kipindi cha sadaka tu swahiba, muda mwingine utaniona nikiimba kwaya tu wala sipepesi pepesi macho.Ahsante sana swahiba. Ila naweza shindwa fanya mengine kazi yangu kusubiri nikuone unavyosoma matangazo.

Heee. Hivyo kigeuza shingo ni kama kupiga chafya.
Nawagawa aisee.![]()
![]()
Ntakaribia aisee.Hahaha ni kipindi cha sadaka tu swahiba, muda mwingine utaniona nikiimba kwaya tu wala sipepesi pepesi macho.![]()

Ila wazungu wana mioyo yao. Mi wala nisinge endelea kumshika. Ningechapa zangu lapa.Jamaa hapa ndo ameniacha hoi...yaan huyu dada alivyopindisha shingo ni kama anamwambia jamaa 'jaman we mkaka mbona unanifanyia hvyo'![]()
Hzo zitakuwa ni hasira sasa sio vizuri unatakiwa umkumbushe tu kistaarabuIla wazungu wana mioyo yao. Mi wala nisinge endelea kumshika. Ningechapa zangu lapa.
Ndio maana huwa na mimi nakuwa wa mwisho kutoa sadaka ili nione tu
Sent using Jamii Forums mobile app



wasiposoma plate number watasoma hata ngao mkuu,wapo wanaopenda flatscreen mkuu,na wengine hao mijusi juu ya gogoHata hakuna mkuu mana sina kilichotokeza.
Duh!!![]()
![]()
![]()
Saivi wala mimi sipati shida nimeanza kutembea na kioo changu cha kufanyia tathmini na kama akiwa mbele yangu kasimu lazima kahusike kwa matumizi ya badaeAshukuriwe aliyeumba na aliyeleta Smartphone
![]()
Vip tena bibie mbona mshangao tena?
Hahaha sema hujaona full picture huyo binti ana bonge la kidonda karibu na kisigino ndo jamaa alikua anashangaa hicho kidonda,Ila wazungu wana mioyo yao. Mi wala nisinge endelea kumshika. Ningechapa zangu lapa.

Kidonda ndio ashangae vile. Mmh. Hapana aisee.Hahaha sema hujaona full picture huyo binti ana bonge la kidonda karibu na kisigino ndo jamaa alikua anashangaa hicho kidonda,![]()
![]()
Kweli bibie we jaribu kuangalia macho yake yanaview eneo gani la huyo bintiKidonda ndio ashangae vile. Mmh. Hapana aisee.
