Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,193
Yaan sio vizuri tena? mbona ndo safi saaHahaaa. Hongereni kwa kufarijika. Ila sio vizuri bana.
Pole wee. Ila ni tabia mbaya sana ujue.
Nawajua tabia yenu mkuu huwa wenye mizigo ndio mnawapa kipaumbele. Ila miaka ya sasa wenye mizigo walivyojaa kuanzia asubuhi mpaka jioni kama kazi yako itakuwa kusoma matangazo ujue ukifika nyumbani shingo inauma.![]()
![]()
![]()
Ashukuriwe aliyeumba na aliyeleta Smartphone
Daaaah! eti mpk kwenye kikaoTubu tu master.



jilazimishe tu upige bhnaUmeshasahau sergio mi si nishawahi kwambia sina mzuka na kupiga picha hivyo hata sina.
Huku wenzenu mnatusononesha.Yaan sio vizuri tena? mbona ndo safi saa
Mkuu utakua mzoefu wa shingo feniLile zigo kama alijavalishwa kyupi, linamwagika tu.
si unacheki zigo la upande mmoja lilivyofurukuta.Hivyo hugeuzi shingo mara kwa mara. Hongera kwa ubunifu mkuu.![]()
![]()
![]()
Saivi wala mimi sipati shida nimeanza kutembea na kioo changu cha kufanyia tathmini na kama akiwa mbele yangu kasimu lazima kahusike kwa matumizi ya badaeAshukuriwe aliyeumba na aliyeleta Smartphone
![]()
Usisononeke mtuzoee tu ndo tulivyoHuku wenzenu mnatusononesha.
Hata sitaki mie.

Hapo saa hizi unatamani ungekuwa wewe unayesoma lile tangazo. Lol.Mkuu utakua mzoefu wa shingo fenisi unacheki zigo la upande mmoja lilivyofurukuta.
Ujue mnanichekesha aisee. Kila mbinu mnazo ilimradi mtimize adhma yenu.Daaaah! eti mpk kwenye kikao
Mm nikiwaga na yf najifanya kama nainama kutafuta kitu hivi, namalizia huko huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajaribu usijali mkuu.jilazimishe tu upige bhna
Hivyo hugeuzi shingo mara kwa mara. Hongera kwa ubunifu mkuu.
Ila kazi mnayo aisee.

Punguzeni basi aisee. Au na sie ambao hatuna mizigo muwe mnatuangalia basi angalau na sie tufarijike.Usisononeke mtuzoee tu ndo tulivyo
