Macho ya Wanaume

Macho ya Wanaume

Hahahahaha lol!sasa unachukia nini Emmy? Mwenyezi Mungu kaumba neema zake na macho ya kushangaa uumbaji wake. Mungu hakukosea kuumba vyote hivyo na sisi wanaume ni lazima tushangae pale Mungu alipoamua kuumba neema. Kuna rafiki yangu mmoja yeye ana kona yake maalum ya kwenda kukaa kuangalia mawowowo na anaweza kukaa hapo baada ya kazi masaa hata mawili anaangalia neema za Muumba wetu! Acha kabisa Emmy sasa kule Coco beach saa za jioni hasa siku za weekend na wenye kuja kuogelea. Wanaume ndivyo tulivyo! Iko kwenye damu hii 🙂🙂🙂

Nachukiaga hiyo tabia. Ila ndio hivyo huwa sina jinsi saa nyingine zaidi ya mie kugeuza shingo yangu nami nisome tangazo.

Ila wanaume kwa shingo feni mungu anawaona jamani. Khaa.
 
Hahahahaha lol!sasa unachukia nini Emmy? Mwenyezi Mungu kaumba neema zake na macho ya kushangaa uumbaji wake. Mungu hakukosea kuumba vyote hivyo na sisi wanaume ni lazima tushangae pale Mungu alipoamua kuumba neema. Kuna rafiki yangu mmoja yeye ana kona yake maalum ya kwenda kukaa kuangalia mawowo na anaweza kukaa hapo baada ya kazi masaa hata mawili anaangalia neema za Muumba wetu! Acha kabisa Emmy sasa kule Coco beach saa za jioni hasa siku za weekend na wenye kuja kuogelea. Wanaume ndivyo tulivyo! Iko kwenye damu hii 🙂🙂🙂

Nilijua tu BAK utasema iko kwenye damu mana mmh.

Vibaya hivyo ujue. Huyo rafiki yako mwambie namsalimia na itabidi nami nikijue hicho kijiwe aisee

 
Hahahahaha lol! Unataka nawe ujipitishe kwenye hicho kijiwe Emmy!? Ushawahi kumuangalia mtu vibaya kwa kumfumania amegeuka na kuangalia mgongo wako?

Nilijua tu BAK utasema iko kwenye damu mana mmh.

Vibaya hivyo ujue. Huyo rafiki yako mwambie namsalimia na itabidi nami nikijue hicho kijiwe aisee

 
Hahahahaha lol! Unataka nawe ujipitishe kwenye hicho kijiwe Emmy!? Ushawahi kumuangalia mtu vibaya kwa kumfumania amegeuka na kuangalia mgongo wako?
Walaa. Huenda ikawa nawewe nikijiwe chako nipate kukuona unavyosoma hayo matangazo.

Hahaaa. Hata sijawahi.
 
Hapana huo muda wa kuangalia migongo kwa masaa mawili sinao. Nilikuwa maeneo hayo najipitia nikaona migongo ya kufa mtu. Nikawa namhadithia nimepita mtaa huo na kuona neema si za kawaida ndipo aliponijuza kwamba yeye huweka makao pale karibu kila siku baada ya kazi hadi masaa mawili wakati mwingine ili tu kufurahia uumbaji wa Muumba.

Walaa. Huenda ikawa nawewe nikijiwe chako nipate kukuona unavyosoma hayo matangazo.

Hahaaa. Hata sijawahi.
 
Hapana huo muda wa kuangalia migongo kwa masaa mawili sinao. Nilikuwa maeneo hayo najipitia nikaona migongo ya kufa mtu. Nikawa namhadithia nimepita mtaa huo na kuona neema si za kawaida ndipo aliponijuza kwamba yeye huweka makao pale karibu kila siku baada ya kazi hadi masaa mawili wakati mwingine ili tu kufurahia uumbaji wa Muumba.


Haya bana mpe hongera zake.

 
Apo kazi inakuja kuwa ngumu usiku wakati wa kulala maana taswira ya matangazo yoote ya mchana inaanza kujirudia jamani jaman matangazo haya mtuhurumie muwe mnayafichaficha kidogo hali ya Magu haituruhusu kuoa jamani

Sent from my TECNO M3 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom