hibiscus interior
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,168
- 596
Hela wanazo wengine kelele mnazo nyie.
Hao uliowataja hapo mleta sio matajiri, matajiri huku mwanza ni wafuatao
Baraka
Mzee shinyanga
Njiwa pori
Yangaa
Lugumi
Bashite
Gwajima
Kishimba
Boss ngasa
Anco magu
Makoye mino
Super sami
Batico
Ncheye
Huyo gachuma hana hela yeyote ile ila yeye ni mwenyekiti wa coca bas, huyo kitana amepewa jukumu la kuangalia meli za watu ambao ni vigogo selikalin kama mkono na liz one
Hao uliowataja hapo mleta sio matajiri, matajiri huku mwanza ni wafuatao
Baraka
Mzee shinyanga
Njiwa pori
Yangaa
Lugumi
Bashite
Gwajima
Kishimba
Boss ngasa
Anco magu
Makoye mino
Super sami
Batico
Ncheye
Huyo gachuma hana hela yeyote ile ila yeye ni mwenyekiti wa coca bas, huyo kitana amepewa jukumu la kuangalia meli za watu ambao ni vigogo selikalin kama mkono na liz one
Sio shule tu had mabas anayo na gali lake lina plate number ya jina lake la ncheyeMakoye meno yes ....ncheye ndo mwenye mashule??
Nayemfahamu mie anashule nyantunduru sekondari,rich rice na chuo cha ualimu..tena jina kamil kama sikosei richard ncheyeleSio shule tu had mabas anayo na gali lake lina plate number ya jina lake la ncheye
Vp wewe uko wap mremboNayemfahamu mie anashule nyantunduru sekondari,rich rice na chuo cha ualimu..tena jina kamil kama sikosei richard ncheyele
Niko kolomijeVp wewe uko wap mrembo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mnaojadili mambo/ maisha ya Matajiri, naomba mjiulize Mungu akitoa Amri maskini wote mpange foleni je wewe utasimama umbali gani na mkeo au familia yako? Mimi ninavyo wafahamu wengine humu watakuwa mbali kiasi kwamba hata akipiga simu Network haitapatikana yaani mwisho wa Dunia. N:B. Jiulize kwanza wewe una pesa/mali gani? ndo ujadili wengine.
My role model,hna majivuno MTU mtulivu sanaKuna Jamaa Anaitwa Liiii Anamiliki Kiwanda Cha Gypsum
Endelea kubaki na iman potofu hizo hivyo hivyoMshukuru Mungu kwa kila hali,hao wanaotajwa hapa,aidha mmoja analala na maiti,amemtoa kafara baba au mama,anafuga joka kubwa au analala na binti yake
Mwanza Ni kuzuri lakini sio kusafiNilipotua mwanza mara ya kwanza nilipapenda mno,hasa kutokana na usafi,na usheshi wa watu wake,Jiji hili lilikua limetulia siku hiyo ya Jumapili,na ambacho sikukijua,ni kwamba Mwanza kuna Mabilionea wengi kuliko nilivyofikiri,wengi wakiwa wasukuma na Wachaga,Hawa wachaga,ni Wamachame na wasiha.
Source of income ilikuWa Uvuvi,Biashara ya Spea na Usafirishaji,wasukuma wamebase kwenye uvuvi na madini,na wachaga wamebase kwenye biashara za maduka,vipuli na usafirishaji hasa wa vyakula ambavyo viko kwa wingi.Hhawaingiliani,na wanaheshimiana,kwenye biashara ya hardware kubwa wamekamata wahindi.
Ukiangalia kwa umakini utagundua matajiri wengi wa Mwanza hawajulikani hapa nchini,na wanaojulikana ni wachache wanaoishi Dar.
Wana sifa Moja,wakimya na wana heshima,.acha mbwembwe zote za kisukuma.Pia wana ubinadamu,sio kama matajiri wetu wa Dar.
Tatizo lao ukiwazingua wanakuzingua kweli, kuua kwao si ishu sana
Kwenye uzi huu,naomba watu wa Mwanza mnisaidie kuwaongeza mabilionea hawa na wasifu wao,kazi na aina ya kazi anayofanya maana kwenye uzi wa wababe wa Arusha mlilalamika mno.
1. Gachuma-CocaCola
2.Mwanza Huduma-Hardware and acesories
3.Texas-Hardware
4.Gitana-Uvuvi
5.La kairo-Hotel,Foods and Hospitality
6.......
7.......
cc.fisadikuu
wengi wastaarabu sana, halafu me hilo jina najua ni Kitana kumbe ni Gitana??Wa huko hawauwawi kwa risasi kama wa Arusha?
Paul Ng'wani alishafulia mbaya sana, ni jirani yetu pale Ngokolo Shinyanga, nyumba aliyokua anaishi alipangisha kwa Oxfam na yeye kwenda kupanga huko Mwadui Mpya au Mageuzi kwa wenyeji wa shinyanga mtakua mnajua haya maenenoKama hii habari ni kweli basi haishangazi kusikia kwamba baadae alikuja kufilisika. Japo wakati mwingine waswahili tunapenda kutia chumvi kwenye mambo mbalimbali.
Kafa lini huyu mzee mbona sina taarifa zake... wakati kwake Ngokolo na home kwetu, tunatenganishwa na ukuta wa kanisa la Romac Catholic tu, sisi home ni pale karibu n Bugoyi Primary schoolHuyu ni wa Shinyanga, afu ni marehemu kwa sasa,may he rest in peace
Aiseee kumbe jirani kabisa, sina taarifa sahihi mimi pia niliona ktk group la watsapKafa lini huyu mzee mbona sina taarifa zake... wakati kwake Ngokolo na home kwetu, tunatenganishwa na ukuta wa kanisa la Romac Catholic tu, sisi home ni pale karibu n Bugoyi Primary school
Mkuu umewatelekeza kwenu na huna mausiano mazuri na kwenu.Kafa lini huyu mzee mbona sina taarifa zake... wakati kwake Ngokolo na home kwetu, tunatenganishwa na ukuta wa kanisa la Romac Catholic tu, sisi home ni pale karibu n Bugoyi Primary school
Aiseee kumbe jirani kabisa, sina taarifa sahihi mimi pia niliona ktk group la watsap
Mkuu ni story ndefu sana kuhusu pande hizo! Siku nikiwa free I will share with you what happened!Mkuu umewatelekeza kwenu na huna mausiano mazuri na kwenu.
Manengelo yupo aliyefariki ni mtoto wake Mohammed mmiliki wa Basuco aliwahi kumiliki timu ya mpiramanengelo
alifariki siku nyingi huyo mzee alikuwana watoto kijiji ikabidi ajenge ghorofo siku hizi imekuwa bar inaitwa victoria prince,vick fish yupo je unamkumbuka geji mwanzilishi wa vivuko pale kamanga??
Nilipotua mwanza mara ya kwanza nilipapenda mno,hasa kutokana na usafi,na usheshi wa watu wake,Jiji hili lilikua limetulia siku hiyo ya Jumapili,na ambacho sikukijua,ni kwamba Mwanza kuna Mabilionea wengi kuliko nilivyofikiri,wengi wakiwa wasukuma na Wachaga,Hawa wachaga,ni Wamachame na wasiha.
Source of income ilikuWa Uvuvi,Biashara ya Spea na Usafirishaji,wasukuma wamebase kwenye uvuvi na madini,na wachaga wamebase kwenye biashara za maduka,vipuli na usafirishaji hasa wa vyakula ambavyo viko kwa wingi.Hhawaingiliani,na wanaheshimiana,kwenye biashara ya hardware kubwa wamekamata wahindi.
Ukiangalia kwa umakini utagundua matajiri wengi wa Mwanza hawajulikani hapa nchini,na wanaojulikana ni wachache wanaoishi Dar.
Wana sifa Moja,wakimya na wana heshima,.acha mbwembwe zote za kisukuma.Pia wana ubinadamu,sio kama matajiri wetu wa Dar.
Tatizo lao ukiwazingua wanakuzingua kweli, kuua kwao si ishu sana
Kwenye uzi huu,naomba watu wa Mwanza mnisaidie kuwaongeza mabilionea hawa na wasifu wao,kazi na aina ya kazi anayofanya maana kwenye uzi wa wababe wa Arusha mlilalamika mno.
1. Gachuma-CocaCola
2.Mwanza Huduma-Hardware and acesories
3.Texas-Hardware
4.Gitana-Uvuvi
5.La kairo-Hotel,Foods and Hospitality
6.......
7.......
cc.fisadikuu
Ulichunguza kama wanalipa kodi inavyostahili?