Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Ntakutia moyo mpaka nikufikishe kwenye kilele cha mafanikio. Ntakupanua kimawazo taratibuuuuuuu
Ntasimamishaaaaaa misimamo mpka ikuiiiiiiingiiiiieeeeee kisawa sawa.
 
Ila kwa Baraka kweli acheni utani,huyo jamaa ana hela mbaya na huyu anaweza ongoza Mwanza yote hata na Kanda ya ziwa na kwa Dar ni matajiri wachache sana wanaomzidi ila kwe kodi ndo sijui kama analipa.
kwahiyo matajiri wa dar wachache sana ndio wanaomzidi?
 
Kuna vitu ata siyo vya kushangaaa kiwanda cha gypsum nacho ni kiwanda.
hahaha Wewe Hibiscus Interior Nimekutunuku Nishani Ya Ubishi ... Jamaa Ana Miradi Mikubwa Karibia Kila Mkoa Halafu Kiwanda Chake Hakijulikani Serikalini ... Anasambaza Gypsum Tz Nzima ... Acha Niishie Hapa Asije Akatumbuliwa Na Wazee Wa TRA ...
 
Nasikia alikua na utajiri wa kishirikina flani hivi sa sijui kweli

Watu walikuwa wanapiga hela SHIRECU kiroho safi halafu wanatengeza myth ili wasishtukiwe!Ni sawa na hawa wauza unga watakudanganya free mason ili wasichunguzwe

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
kwahiyo matajiri wa dar wachache sana ndio wanaomzidi?
Yeah,kwa matajiri wenye asili ya Tanzania ni wachache sana wanaomzidi,usichanganye wale waarabu na wahindi hao nadhani hatuwaongelei hapa........huyo jamaa anamiliki migodi mingi sana kanda ya ziwa,kati na hata kusini kwa sasa na bado pia ananunua dhahabu kwa wingi tu!!!
 
Watu walikuwa wanapiga hela SHIRECU kiroho safi halafu wanatengeza myth ili wasishtukiwe!Ni sawa na hawa wauza unga watakudanganya free mason ili wasichunguzwe

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Hahha kumbe ulikua mchezoo ule,dahh
 
Back
Top Bottom