GEITA FARM
JF-Expert Member
- Dec 22, 2015
- 336
- 173
Mkuu Watu Wanashoboka Na Migodi Anayomiliki Baraka Kwanza Migodi Yenyewe Kuna Mkono Wa Vigogo Wa Serikari ...Daaah wabongo bhana hivi mnajua billionea anakuwa na vigezo gani? Kwa hapa tz watu wana pesa za kawaida tu hata sio za kutisha sana nashangaa watu wanamwongelea baraka ni bilionea wa mwanza daah.....
