Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Kwenye kuchangia pato la taifa arusha ipo chini ya shinyanga na iringa, au utajir wenu ni zile kelele za subaru second hand mkuu?
Wanaopiga pesa wengi ni branches za kampunin za dar na nje ya nchi,hela zinapita tuuuu ,wanaopiga the ultimate share hawapo arusha!!!
 
700bn ndio mtaji wa bakhresa .....muwe mnaandika mambo ya ukweli sio kusema kitu ambacho hamkijui....hata kwenye top 10 ya matajiri wa tz hayupo sasa hiyo 700bn ni hela ya zimbabwe..mengi na kufanya biashara n kumiliki viwanda zaidi ya miaka 25 ndio kafikisha utajiri wa 500bn.
Kuna zile story kua zakaria wa tarime nae ana trillion mbili

Source > > Buzuruga Bus Stand.
 
Mnaojadili mambo/ maisha ya Matajiri, naomba mjiulize Mungu akitoa Amri maskini wote mpange foleni je wewe utasimama umbali gani na mkeo au familia yako? Mimi ninavyo wafahamu wengine humu watakuwa mbali kiasi kwamba hata akipiga simu Network haitapatikana yaani mwisho wa Dunia. N:B. Jiulize kwanza wewe una pesa/mali gani? ndo ujadili wengine.
 
Baraka Ni tajiri sana tena sana, anamiliki gorofa nying tu mjin Mwanza, pia ana nyumba nying sana zaid ya 30 gorofa moja moja zaid ya 50 bwiru, pia ndo mmliki wa plant nying za migod Tanzania ndo mwanzilishi wa system ya marudio Mwanza, pia ndo mmliki wa busolwa gold mine, anachimba kama GGM kwa sasa amenunua mtambo wa kusaga mawe ya dhahabu wenye thamani ya zaid ya 35bil, hana mkopo bank, anamagari ya kutembelea ya gharama kubwa, ipo hammer, BMW x6 &5, infinite, v8 zaid ya Tatu, kluger new model, jeep, volkswagen, Nissan fuga, Markx, pia alinunua fortuner 10 kwa ajiri ya wafanyakazi wake wa mgodin, anakadiliwa Kuwa na utajir wa 700bill, ila hana mbwembwe kama matajir wa arusha, mkitaka evidence ya vitu nilivyotaja semen nitawarushia
Bwiru mbona hzo gorofa 50 umedanganya coz makazi ya bwiru kwa magorofa hazifiki 60 nyumba nyingi ni za chini but nzuri sasa hivi ndio wameanza kujenga magorofa kule
 
700bn ndio mtaji wa bakhresa .....muwe mnaandika mambo ya ukweli sio kusema kitu ambacho hamkijui....hata kwenye top 10 ya matajiri wa tz hayupo sasa hiyo 700bn ni hela ya zimbabwe..mengi na kufanya biashara n kumiliki viwanda zaidi ya miaka 25 ndio kafikisha utajiri wa 500bn.
Hizo 700bn za Bakhresa ni mtaji(working capital) au ni total assets?
 
Back
Top Bottom