Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Mwanza ni masikini kwa 32.33% sasa unataka kubisha na wasomi na watafiti Wa nchi hii? Upuuzi huo
 
Mmeongea mengi sana nimewaangalia tu, hata mimi pia zangu si haba, dagaa ikinichosha nala samaki, shida iko wapi analala floor ya 6 nalala ground wote asubuhi kunakucha,
Kila mtu na zake mengi mbwembwe,
eid mubarak
 
Daaah wabongo bhana hivi mnajua billionea anakuwa na vigezo gani? Kwa hapa tz watu wana pesa za kawaida tu hata sio za kutisha sana nashangaa watu wanamwongelea baraka ni bilionea wa mwanza daah.....
Kwa mgodi alionao inaonekana jamaa ana mzigo
 
Jina lake kamili ni Kitano Chacha na hamiliki kijimeli ni meli. Ana meli kubwa za nguvu tisa na kuna moja inajengwa kwa ajili ya ziwa Tanganyika ya thamani ya Tsh bilioni 5.78.

Meli zinazofanya kazi ni Mv Nyakibalya, Mv Chacha, Mv Munanka, Mv Mugendi, Mv Wankyo, Mv Matara, Mv Nyangi, Mv Kirumba na Mv Arez.

Baadhi ya meli zake zinafanya kazi katika nchi za Uganda na Kenya na si tu kwamba ndiye mwenye meli nyingi katika jiji la Mwanza ila katika Tanzania nzima.

Pia anamiliki kiwanja kikubwa mtaa mzima kati Pamba na Rwegasira ambacho NSSF walikitaka kwa 5b akawatolea nje.

Ni mlipaji mzuri wa kodi zote za serikali, anacho cheti cha mlipa kodi bora wa wamiliki wa vyombo vya majini nchini.
Huyu nimemkubali...aisee kimya kimya
 
Mshukuru Mungu kwa kila hali,hao wanaotajwa hapa,aidha mmoja analala na maiti,amemtoa kafara baba au mama,anafuga joka kubwa au analala na binti yake
Heb mkuu toa ushahidi angalau wa kimazingira
 
Nasema mm geita inamatajiri wakubwa wasiojua wapi wawekeze noti zao.pia geita tycoon wanapesa chafu kuliko hao wa mwanza japo geita haina mfanano kama kunamatajiri pale.nanaojua nachokizungumza wameelewa
Ni Kweli Mkuu Geita Kuna Raia Wana Hela Hadi Kero Lakini Huu Uzi Ni Kwa Ajili Ya Matajiri Wa Mwanza Kama Vipi Anzisha Uzi Wa Matajiri Wa Geita Tuujadiri ...
 
Hii thread ina vituko kuna mmoja anasema pale kirumba kuna bar imefunguliwa juzijuzi tokea ianze kufanya kazi wateja hawakauki hivyo mmiliki wake ni billionaire wa Mwanza hhahahaas yaani nimecheka kidogo nipaliwe.
Mkuu Huyo Atakuwa Haijui Vizuri Mwanza Kama vipi mpotezee ...
 
Back
Top Bottom