Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Mabilionea wa Mwanza respect and silence

Emmanuel Valentine Mapigano. Huyu yuko kule Ukara ni tajiri wa uchawi.
 
Hizi comment ndio zinakuja kuwaweka hao wenzenu matatizoni....SERIOUS MTU BINAFSI UCHUKUE KIKOSI KUTOKA JESHI LA POLISI UKIAJIRI?
Mkuu wa FFU alimuita akamwambia huo unaoufanya ni uhaini. Unataka kuchukua kikosi kizima Cha askari?

Ungeiona mikataba wale askari waliopewa ilikuwa kufuru tupu.
 
Nasema mm geita inamatajiri wakubwa wasiojua wapi wawekeze noti zao.pia geita tycoon wanapesa chafu kuliko hao wa mwanza japo geita haina mfanano kama kunamatajiri pale.nanaojua nachokizungumza wameelewa
Kaka habar nisaidie mawasiliano yako please ni muhim tuzungumze jambo
 
Kiswaga,
Kasheku,
Kitana,
Genji,
Kishimba,
Lakairo,
Dr limbu,
Diallo,
Jembe ni jembe,
Mzee wa shy japo ni marehemu ila Mali na utajiri bado upo sana,
Nsagali (NGS)

NK
 
Kiswaga,
Kasheku,
Kitana,
Genji,
Kishimba,
Lakairo,
Dr limbu,
Diallo,
Jembe ni jembe,
Mzee wa shy japo ni marehemu ila Mali na utajiri bado upo sana,
Nsagali (NGS)

NK
Jembe n jembe nae tajiri wa mwz,joseph kasheku mwenye mabasi mabovu kama ya kupakia mifugo nae tajiri?hapo mwamba ni kitana na lakairo....dialo kachoka kitambo
 
Nawaambia kuwa hamjui wenye ela mwanza Kuna mzee Moja anaitwa mzee CF building na cf hospital na pesa vibaya mno watu wanapesa mwanza na babangu mnamwacha wapi nyie
 
Huyu jamaa sijajua kama ka invest,ila inavyoonekana ana mzigo mno unaweza tupa investment zake mkuu?
Kitana anapesa kuliko matajiri wote mwanza kunakipindi alikopesha benk ya NMB yeye anaingiza ela bank na hatoki anameli zake watoto wake wanatembelea v8 na whawana rleimu ujue
 
sio kuuza sura...unamjua home shopping centre au unamsikia.. kwanza google gsm transport, gsm pugu malls, gsm masasani malls, mkuki malls, gsm cement, gsm boda boda, silent ocean, amana bank, gsm media, gsm travels, alosco tower, alosco holdings, gsm baby shop, home shopping centre nowdays discount centre, gsm trucks, gsm tower... Mobile plaza tower mpya kariakoo inayptishia watu mitandaoni inavyowaka

kisha mtafute tajiri wa kanda ya ziwa hata mia moja waungane waone balaa lake...

huku dar watu wanaumiza vichwa serikali nzima wanaiba hadi tra wanaogopa.. wanawekeza kila sehem. mtu.anamsifia mtu mwanza kwa kuweka fedha bank wakati dar home shopping tu wanamiliki amana bank na ni part ndogo tu ya uwekezaji wao.. wana hela hadi wanaogopesha serikali
GSM imebeba watu wengi sio mtu moja
 
Kuna wale wasukuma wana matruck ya kubeba mizigo yako mengi sana kuna wakati yalikuwa yanakujaa Arusha matruck marefu yenye tella ndefu, yalikuwa yanaongozana kama 20 yakiingia sheli yanafunga kabisa mauzo kwa wengine yalikuwa na rangi kama cream hivi, sijui ni nani mmiliki wake yalikuwa ya mwanza jamaa inaonekana wako njema wale.
Mdogo wake lakairo huyu anapesa Sana aliingiza truck 32 Kwa siku moja
 
Nlchogundua mwanza matajiri weng wanajihusisha na migodi na uvuvi na viwanda
 
Back
Top Bottom