Mabasi ya Mwendokasi yagongana

Mabasi ya Mwendokasi yagongana

Kosa litakuwa la traffic, dereva wa kwenda kimara au dereva wa kuelekea gerezani?
 
Mkuu taa zipo very accurate kuliko trafic, hii nimeichunguza kwa muda kidogo, siku kukiwa hakuna trafic foleni inatembea sana ila kukiwa na trafic unaweza kukaa kwenye foleni hadi 1.5hrs
Ni sahihi kabisa. Siku kukiwa hakuna polisi barabarani huwa tunatumia muda mfupi sana kuendesha magari kutoka sehemu moja kwenda nyingine
 
Japo ajali haina kinga, lakini pia hao madereva wawekewe pia kipima ulevi,
 
Hawana kazi wanauza sura tu. Nayachukia sipati kuelezea. Bila wao hakuna foleni yakiwepo tu hesabu maumivu. Na ss tujiongeze jmn hv kweli hzi taa kazi yake nn? Kwangu sioni kwa nn jamaa atumie nguvu wakati keshawekewa kitendea kazi. Tukiitwa mazuzu tunalia. Ht njia panda zenye roundabout huwa wanafanya hivyo mfano kigogo yaani ni kero. Hatujitambui. Ni lini MA driver wetu watazoea hizo taa? Wakienda nje ya tz kwenye taa tupu (mfano) itakuwaje? Jiongezeni nyie wavaa suti nyeupe
Mkuu taa zipo very accurate kuliko trafic, hii nimeichunguza kwa muda kidogo, siku kukiwa hakuna trafic foleni inatembea sana ila kukiwa na trafic unaweza kukaa kwenye foleni hadi 1.5hrs
 
Hii biashara ya taa kuwaka huku kuna trafic..inasababishaga ajali...
Trafic hebu rekebisheni
 
Nimeona, haka kamchina kangu kiyoo kinaukungu mpaa uangalie maandishi kwa nguvu sana ndo uelewe, na huku kolomije hakunaga mafundi simu. cc kisu cha ngariba
[emoji23] haya fanya basi kuja dar japo hii pasaka uyapande japo ukapate kujibu maswali ya wengi kuhusu mwendokasi huko kolomije
 
Hizo taa wangeziweka switch...akiwepo traffic wazime...maana hili la kuongoza magari traffic wakati na taa zinawaka linachanganya saaana madereva...bora yamewakuta wenyewe labda watalishughulikia...
Unakuta traffic mwenyewe haonekani...unafanya kunyemelea ...sasa ujkute ni taa afu upige break kwenye pundamilia...unalo
 
Back
Top Bottom