Mabasi ya Mwendokasi yagongana

Mabasi ya Mwendokasi yagongana

Mkuu Rohombaya sidhani kama napaswa kuamini your name reflects your heart. Najua huwa ni fake ID tu ndiyo zinazo tumika kukufanya utiririke ukiwa huru. By the way, nimejaribu kuweka kila kitu kwenye yakirefu yangu nikijua tutakuwa tumeelewa kumbe baadhi bado tumeachwa. Katika hiyo ya kirefu zingatia mambo matatu.
1.Nimeaninisha ni body gani ya wataalam professional walioandaa Traffic lights management, hao professionals ni wataalam maprofesor , wengine ni PhD holder na wengine wana shahada zaidi ya moja waliobobea kwenye, fani hiyo over 20 t0 30 years. Na wamefanya hiyo kazi kwa miji mikubwa iliyoendele na mambo yanaenda bila askari kusimama katikati

2.Nimetoa angalizo kuwa kuna biasness kwa maamuzi yanayofanywa na wanadamu kwakuwa hawajasetiwa kufanya kazi wanayofanya. Since they are not system hence they 're susceptible to several mistakes. muda askari wa usalama barabarani anaotumia kuita magari bila kujijua anajikuta ametoa upendeleo upande mmoja kwa muda mrefu unafanana na muda ambao taa zimesetiwa kitaalam kuwaka upande huu na kuruhusu upande mwingine?

Regardless kama upande mwingine hauna gari lakini taa zikaruhusu as long as iko within necessary time, its better than huo utetezi wako usio wa kitaalamu ni wakufikirika tu. Huo ni kwa mujibu wa unachokiona lakini mimi nimekuelezwa body ilikaa kupitisha taa kufanya Road Traffic Lights Management. wewe unaniambia upande wa watembea kwa miguu kunakuwa hakuna taa. hilo sio tatizo la kitaaalam. hiyo ni insufficient ya working tools wataalamu walishamaliza

3. Nimeongelea suala la kuongeza muda kufanya setting kama wangependa upande Fulani uvutwe muda zaidi for a specific reason, its also possible kufanya setting ya taa na siyo kuweka askari ambaye hana monitoring control kichwani sometimes anakuwa taken by situation anavuta upande mmoja for a very long time, anachosha watu wengine kwenye folen.

ASKARI WAKAE MAHALI AMBAPO TAA HAZIFANYI KAZI, ACHA MANENO YAKO MKUU KWENYE NJIA ZA BRT NA SEHEMU NYINGINE KAMA ZINAFANYA KAZI SIYO MUHIMU MKUU, siyo lazima tu ubishe. inaelekea wewe hujakumbwa na hiyo adha ya foleni halafu mnavutwa kidogo wanaendele kuvuta upande mmoja kwa muda mpaka unachelewa na ku-cancel safari zako muhimu

NB:Kitu kikiongelewa na wataalamu waliobobea kwenye fani Fulani hao tunawaita ni CREDIBLE SOURCE kwakuwa wanaufahamu na ni professional juu ya jambo hilo
Dah.... Chief bado Unajichanganya tu.. Kwa uelewa nilioupata kwenye kozi menejimenti ya foleni shule ya msingi darasa la sita.......Hakuna sehemu yoyote duniani ambayo unaweza kudhibiti foleni kwa kutumia muda pekee....bila kujua idadi ya magari yaingiayo kwenye barabara..idadi ya barabara zinazolisha hiyo barabara... Kasi ya magari...mabasi ya mwendokasi..... dharura ya gari LA wagonjwa... zimamoto nk nk.....
Na hizo rates hapo juu zinabadilikabadilika kila muda unapobadilika wakati muda wako ulio "calculate" uko vile vile.....unategemea nini? Ndiyo maana wakati askari huongoza magari wakati wa msongamano mkubwa huku wakiwasiliana na wenzao walioko kwenye sehemu nyingine mbali mbali wakifanya kazi kama vitambuzi na vihesabuji ( detectors & counters)
Labda utakuwa mgeni Dar..... miaka Karibu 10 iliyopita... muda mfupi baada ya Lowassa kuondoka madarakani.... Kulizuka kelele kama zako.... Wahusika wakahakikisha taa zote zinafanya kazi.... Askari wakaachana na biashara ya kuongoza magari.... kabla ya saa Tatu asubuhi Mji wote ulisimama..... ....usiturudishe nyuma bana[emoji13] [emoji13]
 
Mkuu kikubwa ni kuzima taa ili madereva wawe waangalifu pale trafiki anapokuwa ana ongoza magari
Hakika mkuu, nashangaa sana kuwepokwa hao traffic police wakiongoza magari wkt taa zinafanya kazi.

Kwa ajali hiyo wa kuchukuliwa hatua ni huyo askali kwa kusababisha uharibifu na ajali.
 
Dah.... Chief bado Unajichanganya tu.. Kwa uelewa nilioupata kwenye kozi menejimenti ya foleni shule ya msingi darasa la sita.......Hakuna sehemu yoyote duniani ambayo unaweza kudhibiti foleni kwa kutumia muda pekee....bila kujua idadi ya magari yaingiayo kwenye barabara..idadi ya barabara zinazolisha hiyo barabara... Kasi ya magari...mabasi ya mwendokasi..... dharura ya gari LA wagonjwa... zimamoto nk nk.....
Na hizo rates hapo juu zinabadilikabadilika kila muda unapobadilika wakati muda wako ulio "calculate" uko vile vile.....unategemea nini? Ndiyo maana wakati askari huongoza magari wakati wa msongamano mkubwa huku wakiwasiliana na wenzao walioko kwenye sehemu nyingine mbali mbali wakifanya kazi kama vitambuzi na vihesabuji ( detectors & counters)
Labda utakuwa mgeni Dar..... miaka Karibu 10 iliyopita... muda mfupi baada ya Lowassa kuondoka madarakani.... Kulizuka kelele kama zako.... Wahusika wakahakikisha taa zote zinafanya kazi.... Askari wakaachana na biashara ya kuongoza magari.... kabla ya saa Tatu asubuhi Mji wote ulisimama..... ....usiturudishe nyuma bana[emoji13] [emoji13]
Mkuu bado unaleta assumptions za kufikirika, na ndyio maana nimesema askari wa usalama barabarani watabaki barabarani kuangalia makosa yanayofanywa njiani. Misafara ya viongozi, Road Traffic Offence, Minor Offence, accident ambazo ni matokea ya human error, au recklessness driving na emergence kama Zimamoto na Ambulance kuzipitisha. lakini siyo wa dominet everthing, everyday kwenye kuongoza magari maeneo ambayo taa zinafanya kazi vizuri.

Unataka tupitishe ushamba wetu ndiyo tuamini maneno ya mdomoni kwa kufuata mapungufu yetu ya vitendea kazi ndiyo tuwaelekeze miji kama New York, London, Tokyo, Shanghai, Bombay, Amsterdam etc.nao waongozwe na Traffic Officers kwakuwa kuna magari ya wagonjwa na wapita kwa miguu utabidi uchunguzi ufanyike mkuu.Ukisema utafiti wa hao wataalamu wa body ya logistics & transport juu ya road traffic monitoring & control system, they are wrong. Huku wewe unatoa ges work kwa kuangalia mtazamo wako na matatizo ya mapungufu yetu hapa nchini bado sio sahihi.

Fanyeni changes ya taa za kisasa zenye sensor na detector updated kuliko kujaza askari kila mahalai. Hao askari unao wangangania mvua ikinyesha wanaondoka barabarani sio wote bali ni kwa sehemu kubwa huwa hawakai je hayo magari ya zimamoto yanawahishaje wagonjwa? lazima tujijengee discpline hili ni gari la wagonjwa linapaswa kupishwa na hata kama taa zimeniruhusu mimi. Acha kulea uzembe mkuu.

Kama tunapata hela za kutengeneza fly over hata kwa mkopo kwa nini usiwaze ku-improve delivered service? Haya kaongeze intake kule ccp ili askari wetu wote wakija mkawatese kwenye jua na mvua badala ya ku-install vitendea kazi vya kisasa. To me nimeclose
 
police waje wayang'oe matairi.
ILA POLENI ABILIA KWA YARIOWAKUTA.
 
Mkuu bado unaleta assumptions za kufikirika, na ndyio maana nimesema askari wa usalama barabarani watabaki barabarani kuangalia makosa yanayofanywa njiani. Misafara ya viongozi, Road Traffic Offence, Minor Offence, accident ambazo ni matokea ya human error, au recklessness driving na emergence kama Zimamoto na Ambulance kuzipitisha. lakini siyo wa dominet everthing, everyday kwenye kuongoza magari maeneo ambayo taa zinafanya kazi vizuri.

Unataka tupitishe ushamba wetu ndiyo tuamini maneno ya mdomoni kwa kufuata mapungufu yetu ya vitendea kazi ndiyo tuwaelekeze miji kama New York, London, Tokyo, Shanghai, Bombay, Amsterdam etc.nao waongozwe na Traffic Officers kwakuwa kuna magari ya wagonjwa na wapita kwa miguu utabidi uchunguzi ufanyike mkuu.Ukisema utafiti wa hao wataalamu wa body ya logistics & transport juu ya road traffic monitoring & control system, they are wrong. Huku wewe unatoa ges work kwa kuangalia mtazamo wako na matatizo ya mapungufu yetu hapa nchini bado sio sahihi.

Fanyeni changes ya taa za kisasa zenye sensor na detector updated kuliko kujaza askari kila mahalai. Hao askari unao wangangania mvua ikinyesha wanaondoka barabarani sio wote bali ni kwa sehemu kubwa huwa hawakai je hayo magari ya zimamoto yanawahishaje wagonjwa? lazima tujijengee discpline hili ni gari la wagonjwa linapaswa kupishwa na hata kama taa zimeniruhusu mimi. Acha kulea uzembe mkuu.

Kama tunapata hela za kutengeneza fly over hata kwa mkopo kwa nini usiwaze ku-improve delivered service? Haya kaongeze intake kule ccp ili askari wetu wote wakija mkawatese kwenye jua na mvua badala ya ku-install vitendea kazi vya kisasa. To me nimeclose
Dah..... Kwa mbali umenisoma kidogo.... Kwamba tutaendelea na mfumo wa kutumia askari kuongoza wakati wa msongamano mkubwa hadi pale tutakapo Weka sensors na detectors........ Karibu Dar[emoji13] [emoji13]
 
Back
Top Bottom