Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,548
- 860,659
[emoji2] [emoji2] [emoji2] nadhani ni cha kule call me JHalafu analima cha arusha
[emoji2] [emoji2] [emoji2] nadhani ni cha kule call me JHalafu analima cha arusha
Imenikuta juz.. Kwenye zebraHizo taa wangeziweka switch...akiwepo traffic wazime...maana hili la kuongoza magari traffic wakati na taa zinawaka linachanganya saaana madereva...bora yamewakuta wenyewe labda watalishughulikia...
Unakuta traffic mwenyewe haonekani...unafanya kunyemelea ...sasa ujkute ni taa afu upige break kwenye pundamilia...unalo[/QUOTE
Mabasi mawili ya mwendokasi yamegongana leo asubuhi katika makutano ya barabara ya Msimbazi na Morogoro, Dar.
View attachment 488166
View attachment 488167
Pasaka hii nakuja, kwaya yetu kanisani imealikwa huko, na mimi ni mzee mshauri kwahiyo nitawasindikiza wanakwaya. Nitafurahi sana kwa mara ya kwanza kufika huko Tanzania, nitatafuta mbinu yoyote nibaki angalau wiki ili niweze kumtafuta mwana shule mwenzangu aitwae Daud, nasikia yupo huko wala sijui anafanya kazi wapi.[emoji23] haya fanya basi kuja dar japo hii pasaka uyapande japo ukapate kujibu maswali ya wengi kuhusu mwendokasi huko kolomije
Duh pole..wenzako wanafurahu kufika mapema,mwendo..halafu kwenye kona pia hawapunguzi speed
KweliSiwahi kuona umuhimu wa trafic kuongoza magari sehemu zenye taa zinazofanya kazi vizuri na mara nyingi huwa trafic wanaongeza foleni sehemu zenye mataa. Trafic inatakiwa awepo kuhakikisha kila mtu anafuata utaratibu na sio kuongoza.
Well said kabisa. Na km isingekuwa ubabe tu mtu akipata ajali baada wa kufuata taa labda hakumwona askari inabidi yeye ndo alipwe coz kiapoongoza kimoja lazima kingine kisimame na kitendo cha kuweka taa it means traffic haitajiki pale na hata akiwepo inabid azime taaMkuu kikubwa ni kuzima taa ili madereva wawe waangalifu pale trafiki anapokuwa ana ongoza magari
great stuff.Hizo taa wangeziweka switch...akiwepo traffic wazime...maana hili la kuongoza magari traffic wakati na taa zinawaka linachanganya saaana madereva...bora yamewakuta wenyewe labda watalishughulikia...
Unakuta traffic mwenyewe haonekani...unafanya kunyemelea ...sasa ujkute ni taa afu upige break kwenye pundamilia...unalo
Yote Kheri sheikh!Mbuzi wa bwana Joni shamba la bwana Joni
Ndio ustadhYote Kheri sheikh!
[emoji23] kumbe dar ndo tanzania...sikujuaPasaka hii nakuja, kwaya yetu kanisani imealikwa huko, na mimi ni mzee mshauri kwahiyo nitawasindikiza wanakwaya. Nitafurahi sana kwa mara ya kwanza kufika huko Tanzania, nitatafuta mbinu yoyote nibaki angalau wiki ili niweze kumtafuta mwana shule mwenzangu aitwae Daud, nasikia yupo huko wala sijui anafanya kazi wapi.
Pole xana kwa majeruhi wote, pamoja na kwamba ni mabasi ya mwendokasi madereva wanatakiwa kuchukuwa tahadhari ya kutosha muda wote. Asanteni kwa taarifaMabasi mawili ya mwendokasi yamegongana leo asubuhi katika makutano ya barabara ya Msimbazi na Morogoro, Dar.
View attachment 488166
View attachment 488167