barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Udart ni kampuni binafsi, huyo mkuu hana say hapo, kidume hapo ni mgwassa.Sitashangaa kusikia Cheo cha Juu zaidi nchini kinawatumbua madereva. Au kutoa amri yoyote kwa wahusika ilhali kuna subordinates.