Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,023
- 43,168
Leave well alone! You wont improve matters by going on tinkeringmakalio yako hayachoki tu kufikiria?
Leave well alone! You wont improve matters by going on tinkeringmakalio yako hayachoki tu kufikiria?
shame on u,yaani watu wanajadili masuala ya msingi yanayowakumbuka wananchi halafu wewe unaleta masuala ya dini,mambo yanayojadiliwa hapa na wnaJF hayana dini wala chama kwani wanaoumia ni wananchi wote bila kujali itikadi za kidini wala kichamaLazima tukubali Tz haijawahi kupata kiongozi mwadilifu, mchapa kazi, anae hekimu haki za binaadam kama JMK lakini timu yake inamrudisha nyuma kwa kufata order za kanisa ya nchi isitawalike. huwezi kumfananiza JMK/JLKN, JMK/MWINYI, JMK/MKAPA Vingozi wote waliopita ukimkomkosoa umekufa au umekimbia nchi, wacheni udini tujenge nchi. kama JK anawaonea vibaya mafisadi cc wananchi tumsaidie kuwafichua sio kumkwamisha kwani hii mifisadi imeshaota mizizi wameanza kufugwa na julius kwa kushirikiana na kanisa,
Wizara ya mambo ya nje ya Marekani.Kwa mlioko huko, United States Department ndio nini?
Hapana. Ufisadi uliibuliwa na Dr. Slaa. Umesahau ile list of shame? Kikwete alikuwa mwendo mdundo. Hana habari.Huo ufisadi bila Kikwete mgeujua? si yeye ndio anaoibua. Au mmesahau umeanzia wapi?
Umepata mume huko Oman?We nikome mi si Mtanzania wala mmarekani ni Mu Oman. Tanzania hususan Unguja nilizalika na kusomea Bara. Huko nilikuja kikazi tu.
chatu dume,Hivi Watanzania tunadhani Marekani inaweza kusaidia upinzani Tanzania!
Migodi yote iliopo Tanzania ni ya Wamarekani, kila kukicha wawekezaji wa Marekani wanazidi kuchukuwa Ardhi yetu! Makampuni ya gesi na uchimbaji Uranium kutoka Marekani yanazidi kuingia kwa wingi Tanzania, Kwenye mbunga zetu Wamarekani wanazidi kujenga Hotel za kitalii. Marekani ana maslahi na Tanzania uwo ndio ukweli!
atatumia ffu aliotumia kuuwa watu arusha, Nyamongo-Mara na Tabora..Kazi ipo sasa hapo JK sijui atatumia FFU wa marekani kuwatuliza waandamanaji au atafanya nini. Ngoja tusubiri tuone.
<br />mngekuwa mnaandamana kushinikiza pia ajiuzulu ingekuwa poa zaidi
There is only one Washington D.C. in the world.Mkuu mwingereza, Heshima mbele sana.
Haya maandamano yanafanyika Washington DC ya Washington au ya wapi?..
Respect
Faidha nafikiri wewe unaishi peponi, hayo mashule walimu wako wapi? hicho kilimo njaa inatoka wapi?Ndio walewael, ukiwauliza kuhusu maendeleo hawataki kuyataja.
Kafanyeni na maandamano kuonesha, mashule yaliyoongezeka, makliniki yaliyoongezeka, ma universirty yaliyoongezeka, mabarabara yaliyoongezeka, kilimo kilichoongezeka, demokrasia iliyoongezeka. Mbona hayo hamuyasemi?
<br />For the first time now I can see Diasporas making sense towards ukombozi wa kweli wa Nchi yetu
You must be from Mars!Lazima tukubali Tz haijawahi kupata kiongozi mwadilifu, mchapa kazi, anae hekimu haki za binaadam kama JMK lakini timu yake inamrudisha nyuma kwa kufata order za kanisa ya nchi isitawalike. huwezi kumfananiza JMK/JLKN, JMK/MWINYI, JMK/MKAPA Vingozi wote waliopita ukimkomkosoa umekufa au umekimbia nchi, wacheni udini tujenge nchi. kama JK anawaonea vibaya mafisadi cc wananchi tumsaidie kuwafichua sio kumkwamisha kwani hii mifisadi imeshaota mizizi wameanza kufugwa na julius kwa kushirikiana na kanisa,
<br />Cha kustaajabisha ni kuwa, iweje leo wabaya wawe wazuri? u ndio yale ya kesi ya nyani kuipeleka kwa ngedere?<br />
<br />
Baniani mbaya kiatu chake dawa?