Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Dhima ya maandamo iwe "KIKWETE AJIUZULU" Tutambembeleza mpaka lini kuwashughulikia mafisadi miaka 5 sasa na amegoma ni muda wa Kikwete kuondoka sasa...!
Aje nani sasa! Mabadiliko haya hayawezi kuanzia Washington DC.
 
<font color="#a52a2a"><b>Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa</b></font>

Kabla ya kuandika unachotaka kuandika jaribu kuhusisha ubongo wako, kwa taarifa yako ukombozi wa afrika ulichangiwa na hao hao unaowaambia kuwa hayawahusu. mfano, PAN AFRICA!
 
Tunaomba pia kadi za vyama vyenu isije kuwa mnapigania vyama vyenu badala ya taifa letu lakini ukweli unabaki palepale tunahitaji kushughulikia mapungufu kwa kadri ya faida ya taifa letu

Utaifa mbele then chama kitafuata.
 
Dhima ya maandamo iwe &quot;KIKWETE AJIUZULU&quot; Tutambembeleza mpaka lini kuwashughulikia mafisadi miaka 5 sasa na amegoma ni muda wa Kikwete kuondoka sasa...!
<br />
<br />
Kweli kabisa, kwa sasa nchi ina wasomi wa kutosha tena wenye uzalendo. Hii ni miaka ya nchi kwenda mbele sio kurudi nyuma kama Tz inavyo behave, kwa ajili ya uchoyo na ulafi wa wateule, Ooh! sorry, walaaniwa wachache tu.
 
Na hawa mafisadi kitu cha kuwafanyia siku ya siku ni kuwadhalilisha kama Mubarack wa misiri.

Huo ufisadi bila Kikwete mgeujua? si yeye ndio anaoibua. Au mmesahau umeanzia wapi?
 
Ndio walewael, ukiwauliza kuhusu maendeleo hawataki kuyataja.

Kafanyeni na maandamano kuonesha, mashule yaliyoongezeka, makliniki yaliyoongezeka, ma universirty yaliyoongezeka, mabarabara yaliyoongezeka, kilimo kilichoongezeka, demokrasia iliyoongezeka. Mbona hayo hamuyasemi?

Shule zenyewe zile za mbavu za mbwa kama sikosei. Halafu unapenda vibaya wewe,chongo unaliita kengeza.
 
Kwa mlioko huko, United States Department ndio nini?
Hili nalo linahitaji degree kulijuwa? mbona tunavunjana moyo kiasi hiki? kama wewe una access ya kutumia internet halafu hata matumizi ya Google hauyafahamu! hili linasikitisha kuliko maelezo.
 
<br />
<br />
wamekosa kazi tena wameshiba hao. Kama mna uchungu na nchi yenu mbona mko huko mnakula mnashiba si mje Tanzania na nyie mpate taifodi na minyoo!
Haya magamba ndio yamesababisha typhoid na minyoo na wewe unajisifia, kweli wewe unafikiri kama wabunge wa CCM, muulize masaburi atakwambia wanafikiri kwa kutumia nini
 
Mimi ninachojua ughaibuni kuna matawi mengi ya Magamba, sasa nyie mnaoandamana mmetumwa na nani? Chadema??? Kwani USA lipo tawi la Chadema?
<br />
<br />
hili do tatizo letu wabongo, hiv kwan tunataka kukomboa chama au nchi? kama ni nchi ccm na chadema zinahusika vip?
 
Hivi Watanzania tunadhani Marekani inaweza kusaidia upinzani Tanzania!
Migodi yote iliopo Tanzania ni ya Wamarekani, kila kukicha wawekezaji wa Marekani wanazidi kuchukuwa Ardhi yetu! Makampuni ya gesi na uchimbaji Uranium kutoka Marekani yanazidi kuingia kwa wingi Tanzania, Kwenye mbunga zetu Wamarekani wanazidi kujenga Hotel za kitalii. Marekani ana maslahi na Tanzania uwo ndio ukweli!
 
Nyie sio watanzania , nyie ni wamarekani , shughulikieni kwanza matatizo ya uchumi ya nchi yenu. Hamuoni nchi yenu inavyo didimia sasa

Kwa hiyo wewe ndiye unapanga uraia wa watu?

Katika ulimwengu wako wa kijima Mtanzania hawezi kukaa Marekani?
 
Huo ufisadi bila Kikwete mgeujua? si yeye ndio anaoibua. Au mmesahau umeanzia wapi?

Kusema kwamba Kikwete ndiye anayefunua ufisadi ni uongo na hadaa.

Kikwete na wafuasi wake wanatumia kufichuliwa kwa ufisadi kama pointi baada ya vitu kuanikwa bila wao kuweza kuzuia.

In any case, kusema kwamba "mimi ni kiongozi mzuri kwa sababu nimeruhusu kufichua ufisadi" kuna ku indict kwamba wewe si kiongozi mzuri kwa sababu umeongoza nchi ambayo ufisadi umekuwepo.

Mpaka sasa kuna mkubwa gani aliyehukumiwa kutokana na ufisadi? Kikwete kasema anawajua wauza unga, wako wapi. Kasema anawajua wazembe Bandari ya Dar, wako wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom