Maandamano ya Kumpinga JK Washington DC

Status
Not open for further replies.
Ukianza kumchuna ng'ombe lazima umalize na mkia. Thread kibao zilimwagwa humo JF kwamba kuna watu eti wenye uchungu na Tanzania wamejipanga kumdhalilisha Rais Kikwete akifika Washington DC kwa kuwa ameshindwa kutawala nchi, nikawa mmoja wa wapingaji wa thread hizo na kuthubutu kusema haiwezekani. Sasa suala hilo liliishaje?

Walisha kamilisha kazi yao. wewe huna taarifa tu kwa kuwa unategemea TBC1
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom