mwandikieni mabango mengi k.m yeye na ni gamba anatakiwa kujivua, mafisadi ni rafiki zake ndo maana hawezi kuwashughulikia
Nani wakuandamana Washington DC, wadanganye Pro-CDM wenzako hivi unadhani utufahamu mnavyoishi huku Marekani!
Kuhusu Marekani, UK, unidanganyi kitu, 85% ya Watanzania wanaokaa Marekani ni Overstay halafu ni unlegal hawana makaratasi, wengine wamefiwa na baba zao mama za Tanzania wameshindwa kuja kuzika kama wakija hawawezi kurudi tena Marekani serikali ya Marekani haiwatambui wanaishi kama kwale tu huku Marekani halafu leo unatauambia eti wajitokeze kwenye maandamano thubutu!
Halafu tuambie Washington DC ni kubwa hayo maandamano yanaanzia wapi?
Kijana Kizungu ndio Lugha gani?Nashauri siku yenyewe iwekwe thread live hapa tupate updates. Af hiyo email ya a href="mailto:wiegertjr@state.gov"wiegertjr@state.gov tunatuma maoni kwa kiswahili au kizungu?
Kauli ya makaratasi ni discriminative IMO
Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi
Ni 15% ndio wana makaratasi 85% wote wameoza!&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br /><b
Je na wale wanaokusanyika kumsikiliza JK anapotembelea Marekani ni watanzania aina gani?
Ni 15% ndio wana makaratasi 85% wote wameoza!
Can you provide a reliable source of this statistics? just to support ur post.Ni 15% ndio wana makaratasi 85% wote wameoza!
<br />Lazima tukubali Tz haijawahi kupata kiongozi mwadilifu, mchapa kazi, anae hekimu haki za binaadam kama JMK lakini timu yake inamrudisha nyuma kwa kufata order za kanisa ya nchi isitawalike. huwezi kumfananiza JMK/JLKN, JMK/MWINYI, JMK/MKAPA Vingozi wote waliopita ukimkomkosoa umekufa au umekimbia nchi, wacheni udini tujenge nchi. kama JK anawaonea vibaya mafisadi cc wananchi tumsaidie kuwafichua sio kumkwamisha kwani hii mifisadi imeshaota mizizi wameanza kufugwa na julius kwa kushirikiana na kanisa,
Hivi mbinu hii ya kwamba mkizidiwa hoja mlete maswala ya udini aliwafundisha nani? this is very poor political strategy ambayo haitokaa ifanikiwe ndani ya Tanganyika. maana hata Yusuf Makamba mke wake ni mkristo, Samuel Sitta na Mwakyembe ni wakristo na ndio waliongoza harakati za kumng'oa Lowasa kwenye uwaziri mkuu.Lazima tukubali Tz haijawahi kupata kiongozi mwadilifu, mchapa kazi, anae hekimu haki za binaadam kama JMK lakini timu yake inamrudisha nyuma kwa kufata order za kanisa ya nchi isitawalike. huwezi kumfananiza JMK/JLKN, JMK/MWINYI, JMK/MKAPA Vingozi wote waliopita ukimkomkosoa umekufa au umekimbia nchi, wacheni udini tujenge nchi. kama JK anawaonea vibaya mafisadi cc wananchi tumsaidie kuwafichua sio kumkwamisha kwani hii mifisadi imeshaota mizizi wameanza kufugwa na julius kwa kushirikiana na kanisa,
Hivi haya yameandikwa na binadamu au robort? Nina wasiwasi kama kuna binadamu wa kawaida anaweza kuandika haya. Habari za kanisa, mara eti timu yake, huu ni wehu kabisa. Mbona katika timu yake kuna zaidi ya asilimia 40 ya waislamu, ina maana na wenyewe wanasikiliza maagizo ya kanisa? Kauli za namna hii zinaweza kutamkwa na walevi pekee na si mtu mwenye akili timamu.Lazima tukubali Tz haijawahi kupata kiongozi mwadilifu, mchapa kazi, anae hekimu haki za binaadam kama JMK lakini timu yake inamrudisha nyuma kwa kufata order za kanisa ya nchi isitawalike. huwezi kumfananiza JMK/JLKN, JMK/MWINYI, JMK/MKAPA Vingozi wote waliopita ukimkomkosoa umekufa au umekimbia nchi, wacheni udini tujenge nchi. kama JK anawaonea vibaya mafisadi cc wananchi tumsaidie kuwafichua sio kumkwamisha kwani hii mifisadi imeshaota mizizi wameanza kufugwa na julius kwa kushirikiana na kanisa,
Baby! mouth is the home of words!Holly crappy!
My friend, wala usipoteza muda na huyu ritz vinginevyo kama humjui ni nani?Can you provide a reliable source of this statistics? just to support ur post.
Full Crackpot, subiri hayo maandamano uchwara! ndio utapata hizo statistics unazozitakaCan you provide a reliable source of this statistics? just to support ur post.
thubutuuuu.maandamano hayo pia ni lazima tuliopo dsm tuyaunge mkono kwa vitendo. Tuingie barabarani kuonyesha ghadhab zetu
Full Crackpot, subiri hayo maandamano uchwara! ndio utapata hizo statistics unazozitaka
makalio yako hayachoki tu kufikiria?Baby! mouth is the home of words!
sasa tunafanyaje,hebu tupe muongozo bana nazjazmaandamano hayo pia ni lazima tuliopo dsm tuyaunge mkono kwa vitendo. Tuingie barabarani kuonyesha ghadhab zetu