Rafiki Njiwa! Unatafuta Makwenzi wewe hapa
Ndio maana kuna kitu kinaitwa baraza la mawaziri...! kuna makamu wa raisi....... issue ya mafuta ni ndogo sana ambayo ni ya kutatuliwa na wizara husika !
hivi kama mawazo yako ni kwamba Rais akienda safari huwa anakwenda kula kuku... pole zako nakurejeshea mwenyewe .. kama ni mvivu wa kusoma basi hata uliza kwa wanaojua safari za rais zina umuhimu gani kwa nchi...
Can u reflesh ur post? nashindwa kukuelewa ulikuwa unajaribu kusema nini!wee saigon, unaokana faaala.enhh!?look before u leap always otherwise yatakutokea puani..cku 1...yaani maisha ndo haya...alafu we taira kwl.
Naamini Raisi huwa "anaamka" tu na kwenda katika safari nyingi tu. Nakumbuka kuna safari ya mkutano wa Labour Spain sijui (thread ipo hapa) na kulikuwa na orodha ya waalikwa lakini yeye hakualikwa. Naamini huwa anadandia safari ambazo si lazima yeye aende hata kama kuna mwaliko rasmi wa nchi kupeleka mwakilishi.<span style="font-family: century gothic">mpe hongera mwano... lakini mwambie Rais haamki tu na kusema leo nakwenda marekani.. kesho nakwenda Uk... kesho kutwa s.africa...</span>
Hapa unazidi kujichanganya wewe mwenyewe, kama unajuwa kuna kazi za mawaziri, ni nini kazi ya waziri wa mambo ya nchi za nje? na nini maana ya kuwa na balozi nje?
Sawa Mr. i know everything !!! lakni nakwambia hivi ndio maana kuna wizara! ... na ndio kazi za mawaziri na manaibu waziri wa wizara husika! issue hii sio ya kusababisha rais awache majukumu yake mengine ... kama ni hivo kusingekuwa na wizara husika
<br /><br />Nani wakuandamana Washington DC, wadanganye Pro-CDM wenzako hivi unadhani utufahamu mnavyoishi huku Marekani!<br /><br />
Kuhusu Marekani, UK, unidanganyi kitu, 85% ya Watanzania wanaokaa Marekani ni Overstay halafu ni unlegal hawana makaratasi, wengine wamefiwa na baba zao mama za Tanzania wameshindwa kuja kuzika kama wakija hawawezi kurudi tena Marekani serikali ya Marekani haiwatambui wanaishi kama kwale tu huku Marekani halafu leo unatauambia eti wajitokeze kwenye maandamano thubutu!<br /><br />
Halafu tuambie Washington DC ni kubwa hayo maandamano yanaanzia wapi?
Hivi ninyi mmekosa kazi ya kufanya!... nimetumiwa mualiko nimeukataa... sababu sioni umuhimu wa kupinga ujio wa raisi wetu...
- mwaandama hamjui lengo la safari yake ni nini... Kiongozi wa nchi hasafiri tu kwa maslahi yake binafsi...
JK Ndio Rais wa Tanzania na anafanya kazi kwa bidii sana kuhakikisha wote tunaenda shule bila kubaguwana, anahakikisha barabara zote zinapitika bila kubaguwana, anahakikisha Mtwara, Tanga, Kigoma, Tabora, barabara zinafika na maisha yanaboreshwa.
Anahakikisha kuwa sehemu zote zilizoachwa nyuma ki maendeleo kwa makusudi kabisa zinazifikia zile zilizo pendelewa kwa haraka sana.
Hiyo ya JK in Spain ni kibokoNaamini Raisi huwa "anaamka" tu na kwenda katika safari nyingi tu. Nakumbuka kuna safari ya mkutano wa Labour Spain sijui (thread ipo hapa) na kulikuwa na orodha ya waalikwa lakini yeye hakualikwa. Naamini huwa anadandia safari ambazo si lazima yeye aende hata kama kuna mwaliko rasmi wa nchi kupeleka mwakilishi.
<br />Tunapanga maandamano ya amani jijini Washington DC Rais Kikwete atakapowasili kwenye kikao cha DICOTA 2011. Tayari watu 150 wamekubasli kushiriki.Hii kumshinikiza kushugulikia swala la ufisadi na matatizo yanayowakabili wananchi wa kawaida. Maandamano yetu yatapokewa na viongozi kutoka United States , State Department. Naye apate Aibu, kwa kucheza na maisha ya watu....Ukitaka kushiriki tuma barua pepe <br />
<br />
<a href="mailto:EliakimMallya@yahoo.com">EliakimMallya@yahoo.com</a><br />
<br />
<b><font color="#0000ff">Update:<br />
Tayari watu 450 wmesha confirm kujumuika katika maandamano haya ya amani....Jamani tuendeleeni, kushirikiana tumuaibishe huyu msanii , mtalii Vasco Dagama a.k.a Dr. Livingstone hadi atoke madarakani.<br />
<br />
Kadhalika tumeni barua pepe pamoja na malalamiko kwa wingi kwenda </font><a href="mailto:wiegertjr@state.gov"><font color="#ff0000">wiegertjr@state.gov</font></a><font color="#0000ff"> ili kupinga Vasco Dagama kupewa VISA na wapambe wake. Ifahamike kwamba mimi siyo mwana CHADEMA wengine wanavyodai. Mimi ni mwana UVCCM tena ngazi ya Juu, lakini Kikwete hakufaa kuwa Rais, ndo maana Watanzania wanaumia. Mapinduzi yanakuja<br />
<br />you are doing the right thing congrats,we need to rescue these innocent peoples
</font><font color="#008000">Wasio na makaratasi, tunachoomba ni sala zenu tu. Watu wanaongezeka sana. Tayari tumefikisha watu 512 ambao wapo marekani ki halali na wako tayari kujiunga nasi kwa ajili ya haya mapinduzi<br />
</font></b>