FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Faidha nafikiri wewe unaishi peponi, hayo mashule walimu wako wapi? hicho kilimo njaa inatoka wapi?
Yaani wewe unanshangaza kweli kweli, yaani mpaka leo huna habari kuwa shule za sekondari zilizojengwa wakati wa Kikwete ni nyingi kuliko zote zolizojengwa na awamu zote ongezea na mkoloni? Hivi hujui kwa sasa tunavyuo vya waalim kuliko awamu zote?
Hivi, bila kuwa na shule waalim wangefundisha wapi? unaanza na shule halafu ndio unazalisha waalim, simpo lojik.
Kuhusu kilimo, yaani hujui kuwa Tanzania sasa hivi ina mazao mengi ikuliko Afrika mashariki yote? ama kweli bado uko mbali na dunia.