Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 665
Content ya habari ilikuwa haieleweki, na sio swala la spelling, hakuna kitu kama United States Department!hili ni jukwaa la siasa hata mtu akikosea spelling sisi tunachojali ni kuelewa content ya habari yake. washamba kama nyinyi hata mjini
Isitoshe, U.S. State Department hawawezi kupokea maandamano binafsi ya Wabongo against Rais wao. Kebehi nyingi kumbe waongo, vilaza wakubwa.