Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Najua hupendi sana umoja wa wananchi wetu,bali nakusihi uone umuhimu kuwa karibu na watanzania wenzako katika kupigania haki ya maendeleo ya watanzania, hata kama wewe ni ccm damu damu! Tanzania ni zaidi ya ccm!!!!

180100_1806064946551_1087715548_32082100_1366286_n.jpg
 
Tuko pamoja wana CDM Mwanza. Sikuweza kuja ila kwenye kura nilikuja
 
katika hali isiyo tarajiwa wabunge wawili wameendelea kupingana na uongozi wa chadema kwa kukataa maandamano ya mwanza

Mpaka sasa leo(24.02.2011) sio chibuda sio zitto aliyeko kwenye maandamano ya mwanza


Nawapa big up zitto na shibuda


chadema%2Bfurahisha.8.JPG
 
katika hali isiyo tarajiwa wabunge wawili wameendelea kupingana na uongozi wa chadema kwa kukataa maandamano ya mwanza

Mpaka sasa leo(24.02.2011) sio chibuda sio zitto aliyeko kwenye maandamano ya mwanza


Nawapa big up zitto na shibuda

Unawapa big up,sasa ulikuwa unauliza kwa ajili gani hueleweki dadavua vizuri mada yako,isitoshe sio lazima wote wawepo.Naomba uwe mtu wa kudadavua mambo,ukiona,ukisikia tuliza akili na mawazo yako utakuwa na decision nzuri kuliko ulivyoleta mada yako.
 
Look

CHADEMAMWANZAbygsengo.jpg

chademamwanza11.jpg

 

Attachments

  • CHADEMA MWANZA by g.sengo.JPG
    CHADEMA MWANZA by g.sengo.JPG
    45.2 KB · Views: 110
  • chadema mwanza.11.JPG
    chadema mwanza.11.JPG
    72.3 KB · Views: 115
Mmetumia muda mwingi kulumbana na Fisadi watoto badala ya kutujuza Mhe sana Dr. Slaa anaongea nini nimekasirika sana kwa hilo
 
huyo anayejiita jk nadhani hana jipya humu jamvini .m uhim tumtafutie bwana wa kuishi nae maana naona majini ya mahaba aliyopewa na shekhe yahaya yamesha mpanda.
 
Cdm siyo Zito peke yake, lakini ingekuwa ni vema kama angekuwepo Mwanza kwani ni jirani na Kigoma na lake zone ni potential area kwa ajili ya mabadiliko ya kweli nchini kwetu. We depend on our power as one "we the people"
 
There are currently 632 users browsing this thread. (186 members and 446 guests)
 
Mmetumia muda mwingi kulumbana na Fisadi watoto badala ya kutujuza Mhe sana Dr. Slaa anaongea nini nimekasirika sana kwa hilo

kweli kabisa mkuu,yaani WAMENIKERA KWELI.next tym hawa mabwege tuwapotezee tu,hakuna haja ya kujibizana nao wanatutoa kwenye mstari!
 
Chadema ina jumla ya wabunge 48 na waliohudhuria hawakufika hata 30 wewe umewaona zitto na shibuda (drogba) tu? Acha majungu.
 
Hamjawahi kuhamasisha hata ujenzi wa shule ya kata, kazi yenu kuandaa maandamano tu. Huo ni unafiki wa kisiasa, hamna moyo wa kweli wa kuleta maendeleo Tanzania.

Soma alama za nyakati....You are in UTOPIA land wandering like a stranger
 
Akili fupi utazitambua kwa mawazo mafupi na mambo mafupi.

Acha nae huyo katumwa,mpotezee..wao wanazani n yule fisadi wao anayejali vitu visivo vya msingi!

Tukirudi kwenye topic yetu, aisee cdm wapo juu balaaaah...naona karibia kitaeleweka tu
 
Ujumbe umefika hata nje ya mipaka yetu...
Watasema sana kuwa maandamano hayajasaiDia kitu, lakini wahusika ndiyo tunaojua impact na effect yake...Leo hii hatA MTOTO wa darasa la 3 pale MWANZA anailaani sana ccm...na anaelewa kwa undani maana ya rangi za bendera ya cdm, na kuwa ndiyo chaMA pekee cha uko,mbozi!

TO HELL WITH CCM!
TO HEAVEN WITH CDM!
 
Hivi unaweza kufananisha na maandamano hayo nayale ya Egypt, Tunisia na Libya?
Nyinyi mnafanya maandamano kama disco halafu mnafananisha na watu wanaofanya maandamano ya kudai mabadiriko!!!
Usidanganyike ukadhani kuwa maandamano ya Egypt, Tunisia na Libya yanafanana na disco inayochezwa Mwanza!
Ungelikuwa karibu ninge kutwanga makwenzi kwenye kichwa chao ili ubongo wako ufanye kaziiiiiiiiiiii! usiwe mvivu wa kufikiria
 
Mike McKee usitake kuwapotosha watu picha zako unazopost si za Mwanza unatuwekea za Dar na Morogoro shame on you.



Picha hizo juu si za Mwanza, za Mwanza hizi hapa chini

181960_1806066466589_1087715548_32082108_675130_n.jpg



183920_1806067666619_1087715548_32082110_1815478_n.jpg

We Kwinini **** kabisa, unapotosha watu, hivi unaijua Mwanza kweli wwe?
 
Back
Top Bottom