Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

Bado nakutafakari sina uhakika na unachomaanisha.
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!
 
Re: Maandamano ya CHADEMA Jiji la Mwanza-Live
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo. WEWE UNADHANI BILA MISUKUMO KAMA HII KUNAUTAKACHO AMBULIA????? FIKIRIA KABLA YAKUANDIKA.​

Sharp lady join date Feb 23 2011
Majimshindo join date Feb 22 2011
Salimia Feb 2011


Anyway, kama hayana impact kwanini CCM wanazuia kama Arusha?
Ndiyo hayaleti umeme, yanapeleka message kuwa tunataka umeme na tuna hasira.
Saudia Arabia, hakuna maandamano lakini king amebadili msimamo kwa kuona jirani zake wanavyotendwa.
Hakuna mtu aliyelazimishwa kuacha kazi au kilimo ni mapenzi yao wenyewe.
CCM wanajua this is the begining of the end, hao wanaobeza ni wafaidika wa CCM ima wao au watoto wao au baba zao. Chadema keep it up!
 
Hivi CDM wanategemea nini kutokana na haya MATEMBEZI?

Siamini mtanzania kama wewe unaweza kuuliza hilo swali. Inaonekana mwenzetu uko njema. Naamini kama utafuatilia theme ya maandamano hayo, kuna ujumbe, na nina hakika ujumbe umefika kwa wahusika.

Huitaji kwenda darasani kutambua kuwa hali ya maisha TZ imezidi kuwa ovyo na hakuna mtu serikalini anayejali.
 
Kwa hakika leo mambo yalikuwa mazuri mno.Nadhani wale mliobahatika kutazama taarifa ya habari na picha toka kwa Ndugu Mchonga mtakuwa ni mashahidi.Tumezindua maandamano kesho kazi inaendelea katika maeneo matano ya jiji la Mwanza.

1.Dr Slaa kuunguruma Ukerewe akiongoza na Wabunge watatu
2.Mbowe kuunguruma Geita na Sengerema akiongozana na Wabunge wengine saba
3.Highness kuunguruma Misungwi
4.Wenje kuunguruma Kwimba

Aluta Continua.
 
Kwa hakika leo mambo yalikuwa mazuri mno.Nadhani wale mliobahatika kutazama taarifa ya habari na picha toka kwa Ndugu Mchonga mtakuwa ni mashahidi.Tumezindua maandamano kesho kazi inaendelea katika maeneo matano ya jiji la Mwanza.

1.Dr Slaa kuunguruma Ukerewe akiongoza na Wabunge watatu
2.Mbowe kuunguruma Geita na Sengerema akiongozana na Wabunge wengine saba
3.Highness kuunguruma Misungwi
4.Wenje kuunguruma Kwimba

Aluta Continua.

mkuu ... asante kwa taarifa .... ikiwezekana hata kampala pangurume
 
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!

hujui ulisemalo
 
Wewe unae ongea utumbo ni fisadi! Na ndio maana unafikiri maandamano hayasaidii. Subiri uone nguvu ya uma ndio utajua kweli hii nchi ina wenyewe! Muhuni wewe, utaikimbia mwenyewe, bahati mbaya sikujui!
 
Kaka ur right. Dr aachane na hayo muda wa kampeni umeshakwisha. wanajamii wahamasishwe kushiriki na kujitolea kufanya isue za kuleta maendeleo na sio kushinda na makombati barabarani anashusha hadhi yake

Thamani ya Dr. slaa ni kubwa kulinganisha na hawa walioko hapa kwenye hizi picha.

Bartlett%20with%20Jakaya%20Mrisho%20Kikwete%20and%20wife%20at%20Mystic%20Mountain.jpg


ccm34.JPG
 
Kwa hakika leo mambo yalikuwa mazuri mno.Nadhani wale mliobahatika kutazama taarifa ya habari na picha toka kwa Ndugu Mchonga mtakuwa ni mashahidi.Tumezindua maandamano kesho kazi inaendelea katika maeneo matano ya jiji la Mwanza.

1.Dr Slaa kuunguruma Ukerewe akiongoza na Wabunge watatu
2.Mbowe kuunguruma Geita na Sengerema akiongozana na Wabunge wengine saba
3.Highness kuunguruma Misungwi
4.Wenje kuunguruma Kwimba

Aluta Continua.

Mtawaua CCM kwa pressure!
 
Mnapoeza muda wa watu kufanya kazi. Watu wanataka barabara, hospitali, shule bora n.k. Hawataki maandamano.
Acheni uzushi, kahamasisheni shughuli za maendeleo.

Kwani umelazimishwa kushiriki maandamano hayo?Na hizo barabara,hospitali,shule,nk zinakwamishwa vipi na uwepo wa maandamano?Actually,mbona tumeendelea kushuhudia upungufu na ufanisi duni wa huduma za jamii miaka nenda miaka rudi na chanzo si maandamano,let alone hamasa ya Chadema.

Nenda kaongee upuuzi huo sehemu kama Misri au Tunisia uone kama hutofurumushwa kwa mawe.Punguza uzembe wa kufikiri:HAKI HAITOLEWI KAMA ZAWADI,INADAIWA.
 
Bado kuna watanzania kama kumi (including Rostam) hivi nchima wanasema hatuwezi kuwaondoa wabunge na serikali yao. Huu ni "upofu mukubwa" Hii ni ujumbe kwa Makinda....
 
Hamjawahi kuhamasisha hata ujenzi wa shule ya kata, kazi yenu kuandaa maandamano tu. Huo ni unafiki wa kisiasa, hamna moyo wa kweli wa kuleta maendeleo Tanzania.
wenye moyo wa nchi ndiyo nyie mnaokwapua mabilioni yetu pale BOT kupitia EPA, kutufisadi kupitia Richmond / Dowans. Hivi mishipa yako ya uchungu kwa wananchi na nchi yako ilishakatika?
 
Kwa hiyo maandamano ndio yataleta hospitali?
Vyama vinavyojifanya kujali kwa nini visihamasishe foundations zitakazofanya miradi ya maendeleo kwa mfano?
Maandamano feki ni unafiki tu!

nina mashaka sana na shule yako. wewe ni bogus kabisa. hujui unaloongea. bora unyamaze mse#$%
 
Wewe ulitaka viongozi na wbunge wote wa CDM wawepo mza?? CHADEMA ni chama cha kitaifa kwa vyovyote vile huwezi kuwakusanya viongozi wote kwa wakati mmoja sehemu moja. Wanayo majukumu mengine ya kitaifa sehemu zingine. Elewa CDM siyo Shibuda wala Zitto pekee.

Mbona huulizi wabunge wengine wengi ambao hawakuwepo MZA? Yawezekana hawa wanaratibu maandamano kama haya KIgoma. Utajua wapi wewe??
 
Cha msingi sio kujua theme bali ni kujiuliza jamii itanufaika vipi na maandamano hayo na je, jitihada zinazotumika kuandaa maandamano zisingeweza kutumika kuleta manufaa zaidi? Hawa wote wanafiki tu!

Tatizo ni kuwa hujui hata maana ya maandamano wewe!
 
Back
Top Bottom